Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Viewing all 1682 articles
Browse latest View live

XTREME PICTURE OF THE DAY


BOB JUNIOR KUPASUA ANGA ZA NORWAY NA SHOW KALI

XTREME PICTURE OF THE DAY

ALICHOKIANDIKA MAMA SALMA KIKWETE KATIK UKURASA WAKE WA FACEBOOK KUHUSU SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

$
0
0

 

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete.

Leo ni siku ya wanawake Duniani, ni siku ya kujitazama kama Taifa juu ya hali ya wazazi hawa na walezi wa Taifa hili. Ni siku ya kujipima na kutathimini namna gani, wanawake wamewezeshwa kujitambua na kushirikishwa katika mipango ya maendeleo ya jamii yetu. Tunapofikiri kama Taifa ni namna gani tunaweza kujikomboa katika Umasikini tulionao ni lazima mipango hiyo iende sambamba na mipango na mikakati ya ukombozi kwa wanawake wa Taifa hili

KILI XTREME DEEJAYZ KUGAWA DVD ZA BURE KWENYE TRIPLE BASH DAR

$
0
0

 

Ijumaa ijayo wakali wa madeejays tanzania kili xtreme deejayz watafanya yao ijumaa ijayo new maisha club dar,zawadi kibao zitatolewa na KILIMANJARO ambao ndio main sponser wa usiku huo wa triple bash itafanyika tar 15 mwenzi huu wa 3 na kuelekea mtwara jumamosi ya tarehe 23 na mjini dodoma itakuwa tarehe 30 mwenzi watatu,akiongea na manager wa xdeejayz hyperman hk alisema mwenzi huu wanakuja kivingine kabisa. watatoa zawadi mbali mbali ikiwepo zawadi ya cd za bure za mixing kali za xtreme deejayz zilizofanywa na DVJ MAJEY kiukweli utakubali ukipata nafasi yakupata dvd hizo ambazo zitagaiwa new maisha club dar,dodoma  na mtwara.

TUKIELEKEA MWAKA MMOJA KUADHIMISHA KIFO CHA STEVEN KANUMBA

$
0
0

 

540658_385957814768029_159323054098174_78897542_783769027_n
Ikiwa imebaki mwezi mmoja tu kutoka leo 7/3/2013 ili tutimize mwaka mzima tangu tasnia ya filamu na Tanzania kwa ujumla itokwe na “The Great Pioneer” Steven Charles Kanumba. Founder na former managing director wa Kanumba Great Filim maisha yake ya ku-struggle hadi kufanikiwa katika tasnia ya filamu na mazishi yake yaliyochukua attention ya vyombo vya habari na kuhudhuliwa na umati wa watu na viongozi wa serikali. Yote hayo yalileta heshima kubwa kwenye kiwanda cha burudani japokuwa lilikuwa ni tukio la kusikitisha. Tarehe 7/4/2012 nikiwa naamka asubuhi sana mida ya saa 12 kasoro nakuta sms kwenye simu yangu kutoka kwa rafiki yangu akiniuliza “Eti naskia Kanumba amefariki”??, kwa kuamini mimi ni mdau wa habari za burudani aliamini nitampa habari ya uhakika juu ya swala hili lakini lilikuwa limenipita na mimi kwasababu ya kulala mapema sana siku ile. Ikabidi nipitie mitandao ya kijamii nikaona habari zisizo na uhakika kuhusu kifo cha the great. Baada ya kuwasiliana na watu wa uhakika na mimi nikaamini kwamba mkali huyu wa bongomovie ambaye nilikuwa nasubili kwa hamu movie yake mpya kwa wakati huo “Ndoa Yangu”, ambayo alipost picha zake kwenye blog yake akiwa na Jacklyne Wolper zikiwa ni behind the scene wakiiandaa movie hiyo… hatupo naye tena duniani. Baaada ya mwezi mmoja kutoka leo itakuwa ni mwaka mmoja tangu watanzania wengi tulivyomsindikiza kwenye safari yake ya mwisho na wengine duniani kote kutoa salam zao za rambirambi kupitia internet. Je, baada ya mwaka huo mmoja ni nini tunakiangalia katika maisha ya duniani ya Steven Kanumba na hata baada ya kuondoka duniani. Bongomovietz.com tunaangalia mwaka huu bila Kanumba kwa jicho la ziada kama ifuatavyo.
Baadhi ya wadau wanahoji kwani Kanumba kaondoka na bongomovie?
Nini maana hasa ya kusema kwamba kwani Kanumba kaondoka na bongomovie?, kati ya wadau wanaohoji juu ya swali hili wanasema kwamba tasnia ya bongomovie imekuwa kwa haraka zaidi ya bongoflava hakuna ubishi juu ya swala hili. Miaka michache tangu wasanii wengi waachane na kufanya thamthilia na kuahamia kwenye filamu kumekuwa na ongezeko la ajila na kupanda kwa hali ya kiuchumi kwa wasanii husika. Wasanii wengi kutoka vikundi kama Kaole sanaa group, Mambo hayo, Kidedea ambao wanafanya vizuri kwenye movie leo hii hali yao kiuchumi iko juu sio kama zamani. Mfano director na leading actor kutoka RJ Company “Vicent Kigosi” maarufu kama Ray amewahi kukili kupitia kipindi cha Mkasi kwamba enzi za thamthilia kwa mwezi walikuwa wanaweza kupata labda shilingi elfu tano, leo hii Ray huyohuyo ametanjwa na moja magazine za burudani kwamba ni mmoja kati ya waburudishaji mwatajiri Tanzania kwa kuingiza karibia million 300 kwa mwaka ambayo ni sawa na million 25 kwa mwezi ambayo ni mara 5000 ya enzi za thamthilia.
Hapo nilikuwa nakupa mfani hai jinsi tasnia ilikuwa,ukirudi kwenye point ya wadau kwamba Kanumba kaondoka na bongomovie na maana yake kwa undani ni kwamba; Mbona tasnia iko palepale hakuna movement za kuipeleka mbele?. The late Steven Kanumba mungu ampe pumziko la amani huko alipo kwa juhudi kubwa aliyokuwa akiifanya tangu enzi ya zamani ambapo bado watanzania hawajaielewa vizuri tasnia ya filamu. The late great alikuwa kashaanza movement za kuleta link up kati ya Bongowood na Nollywood kwa kuwachukua Mercy Johnson na Bimbo Akintola kutoka Nigeria kwenye movie ya Dar to Lagos. Movie ile ilikuwa ni kama gateway kwa watanzania wengine kufungua mipaka na kuipeleka bongomovie kwenye level hizo lakini haikiwa hivyo. Steven Kanumba himself aliendeleza connection za hapa na pale kufanya movie kadhaa nje ya Tanzania hadi London kwa lengo moja, kuendeleza sanaa yake na pia kuitangaza Tanzania. Ramsey Noah mmoja kati ya actor na director mkubwa Nollywood, alifika Tanzania kwa juhudi za Kanumba na crew yake hatimaye wakafanya movie “Devil Kingdom”, ile ilikuwa epiq kumleta Ramsey hapa bongo.
Swali linakuja je?, baada ya Kanumba kufariki

LULU KUACHIA FOOLISH AGE SOON

$
0
0

Muigizaji Elizabeth Michael maarufu kama Lulu ambaye wiki kadhaa zilizopita alitoka jela kwa dhamana kwa kosa linalomkabili mahakamani. Baada ya kutoka vitu ambavyo bongomovietz.com iliviangalia kwa jicho la tatu ni mojawapo ni project yake ya movie ya Foolish Age ambayo alianza kuipromote hata kabla hapata kesi aliyokuwa nayo. Bongomovietz.com katika conservation yake na Lulu kupitia twitter kuhusu movie hiyo amefungaka kwamba soon ataiachia movie hiyo mtaani

ALICHOKIANDIKA HYPERMAN HK KWENYE FACEBOOK KUHUSU MAMA YAKE MZAZI KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

$
0
0

Hiki ndio amekiandika hyperman hk kwenye facebook kuhusu mam ayake mzazi aliemzaa kwenye siku ya wanawake duniani.

Happy mother's day, nachukua nafasi hii kumshukuru sana mama yangu kwa kunizaa,kunilea na kunipa mahitaji yote muhimu mpaka kufikia leo najitambua najielewa na naweza kujitegemea. sina maneno mengi kwako mama yangu nachoweza kusema ni neno moja tu'' NAKUPENDA'' nikwambie nini tena.


XTREME PICTURE OF THE DAY

PASHA KUFATA NYAYO ZA CHEGE NA AY KIBIASHARA

$
0
0

 Duka la chege chigunda

Mkali wa muziki wa bongo fleva pasha mtepa ameamua kufata nyayo za wasanii wenzake kina chege na ay katika swala zima la kutotegemea muziki peke yake na badala yake kuamua kufungua duka kwa ajili kufanya biashara za nguo, akiongea na x deejayz msanii pasha alisema ameamua kufungua duka hilo mtwara kwasababu ya mtwara hakuna maduka mengi ya nguo,pia alisema duka lake lipo katika uwanja wa mpira wa umoja mkoani mtwara.alisema kuwa kwa sasa mtwara inakua kila siku na watu wanahitaji vitu kama hivyo lakini hawapati mpaka waje dar wakati kunakumbi kali yakujidai kama NEW MAISHA CLUB watu wanahitaji kupendeza sana hili watokelezee

YALIOJILI VIWANJA VYA LEADERS MAMBO YA SAFARI NYAMA CHOMA

HIKI HAPA KIDEO KIPYA CHA OMMY DIMPOZI NA VANESSA MDEE KUTOKA KWA OGOPA DEEJAYZ

PICHA ZA UCHI ZA MSANII SAPNA ALIYETOKELEZEA KATIKA VIDEO YA JAMBO JAMBO YA STEVE RnB

$
0
0



WAKATI mabinti wengi hasa mastaa wa Bongo wakijuta baada ya picha zao za utupu walizopigwa na wapenzi wao kuvuja, kwa msanii mrembo aliyepamba video ya wimbo wa Bongo Fleva uitwao Jambojambo wa msanii Steve R&B,
Aisha Firozi ‘Sapna’ ni kawaida kwani hujifotoa mwenyewe.
Chanzo makini cha Risasi kimewasilisha folda lenye picha za kutosha za mrembo huyo akiwa mtupu huku kikieleza kwamba ni mchezo wake kujipiga mwenyewe picha hizo.
Kwa sharti la kutochorwa jina lake , chanzo hicho ambacho kipo aribu na Sapna kilisema:“Yule ni mtu wangu wa karibu sana, lakini tabia yake kwa kweli huwa siipendi kabisa. Anajipiga picha chafu mwenyewe, kwake ni starehe kubwa, huwezi kuamini.”
Kikiendelea ufunguka zaidi, chanzo hicho kilipasha kuwa, picha hizo amejipiga hivi karibuni nyumbani kwa rafiki yake aitwaye Doreen, Tabata - Magengeni jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiishi naye.
KAULI YA SAPNA.....
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni; Sapna alipopigiwa simu na kuelezwa kuhusu kunaswa kwa picha hizo, kwanza alishangaa lakini akakiri kuzitambua.

“Hizo kweli ni picha zangu na nilijipiga mwenyewe sasa sijui wewe umezipataje na zimefi kaje huko kwenu? Mimi nilipiga kwa masilahi yangu mwenyewe, huwa natamani sana kujiangalia jinsi umbo langu lilivyo, ndiyo maana niliamua kujipiga na si vinginevyo.

“Kila mtu na maisha yake na mimi sikuwa na dhamira mbaya kujipiga picha hizo zaidi ya kujiangalia tu nilivyo,” alisema Sapna

TID APEWA KICHAPO KIKALI NA MTANGAZAJI WA SHINDANO LA BIBI BOMBA CLOUDS TV

$
0
0
 


Mwanamuziki nyota wa Bongo flava ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki wa dansi, Khalid Mohammed ‘TID’, wiki iliyopita alionja joto ya jiwe baada ya kudundwa hadi kutolewa nundu puani na mtangazaji wa Clouds TV, Cedou Ayoub a.k.a Babuu.



Tukio hilo la aina yake lililotokea wiki iliyopita kwenye kiota cha burudani Bongo pale Club Maisha na kushuhudiwa na watu kibao ambapo chanzo chake kikidaiwa ni kudaiana hela

Chanzo chetu kilimwaga umbea kuwa, siku ya tukio hilo TID alikuwa amealikwa kwenye uzinduzi wa albamu ya mwanamuziki Country Boy iliyokuwa inafanyika mjengoni humo, ambapo baada ya onesho hilo kuisha ndipo TID akiwa ‘mitungi’ alimfuata Babuu na kuanza ‘kumzingua’

Hata hivyo, chanzo chetu kiliendelea kueleza kuwa, baada ya walinzi wa ukumbi huo kuona hali tete ya uvunjifu wa amani waliwasihi watu hao kutoka nje kabisa ya ukumbi, huku mtangazaji huyo akiwaomba walinzi hao wawaache wapimane ubavu kidogo na walipotoka nje wakaachiwa ‘ulingo’ ndipo ngumi zilianza kupigwa.

Habari zaidi toka eneo la tukio zilisema kuwa: “Watu waliwazunguka huku wakishangilia kwa muda wa dakika tano ngumi zinapigwa ndipo maabaunsa wakawaamua, lakini, tayari TID alikuwa ameshatolewa manundu kadhaa puani.”

Aidha, kwa upande wa Babuu, alipotafutwa kupitia simu yake ya kiganjani, iliita bila kupokelewa.

Hata hivyo, watu wa karibu na Babuu walilieleza kuwa, kufuatia TID kuchezea mkong’oto huo, kumezuka ‘bifu’ kubwa na kuna wasiwasi wa kutekana kwa mastaa hao hivyo huku Mkurugenzi wa Clouds Media, Ruge Mutahaba akitakiwa kuingilia kati suala hilo ili kuepusha balaa.

XTREME PICTURE OF THE DAY


EAST AFRICA FINEST

PICHA MBALIMBALI WASTARA AKIAGWA NA FAMILIA YAKE AIRPORT..

XTREME PICTURE OF THE DAY

DIAMOND NDIO MSANII WA BONGO FLEVA ANAEUZA ZAIDI KULIKO WASANII WOTE KWENYE RINGBACK TONE

$
0
0

DIAMOND! HUYU HAPA TENA DUH!!



Mwanzilishi wa kampuni ya Push Mobile inayohusika na uuzaji wa miito ya simu, ringback tone (RBT) amesema Diamond ndiye msanii wa Bongo Flava anayeingiza fedha nyingi zaidi.

Shamte ametoa taarifa hiyo jana alipokuwa akizungumza kwenye kongamano la mchango wa technolojia ya habari na mawasiliano ICT kwenye tasnia ya muziki nchini katika kituo cha ubunifu wa technolojia hiyo cha KINU jijini Dar es Salaa

"That boy is hot, you have no idea how much money he makes from RBT, I handle that account true story,” alisema Rashid. Alipoombwa ataje ni kiasi gani Diamond anaingiza kutokana kuuzwa kwa nyimbo zake, Rashid alisema, “lots… let’s just say he is happy.” Lakini Shamte alisema kama angekuwa na umaarufu kama Diamond alionao angeingiza fedha nyingi zaidi kuliko sasa.

“If I was hot like Diamond trust me I would be rich and I would not need to have anybody manage me or anything, I would put up a website, I would put snippets of all of my tracks because I can’t really make any money from radio, I would dump a bunch of songs onto radio, I will make sure you can stream a little bit of it but if you want all of it, I will make you pay me 200 using M-Pesa, if you want to download it I will make you pay me a hundred using M-Pesa.”

XTREME PICTURE OF THE DAY

Viewing all 1682 articles
Browse latest View live