↧
MIPANGO YAKUMTEKA WEMA SEPETU YAJULIKANA
↧
SAFARI YA MWISHO YA GOLDIE KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE
↧
↧
XTREME PICTURE OF THE DAY
↧
MJADALA WA USHOGA WAIPONZA "CLOUDS FM"....TCRA YANYOOSHA MAKUCHA NA KUVIFUNGA VITUO VIWILI VYA REDIO
↧
Q CHILLAH AINGIA NA KITANDA CHA SITA KWA SITA KWENYE STAGE@NEW MAISHA CLUB
Msanii mkuongwe wa bongo fleva q chilla ameingia kwenye stage na style yakipekee kabisa new maisha club jumapili iliyopita wakati wa show yake ya CHILLAH IS BACK hakuna alietegemea kitu ambacho q chilla angekifanya mwisho wa siku yowe na shagwe zilianguka kwa ukumbi wa maraha wa maisha club kusha ngilia kumuonna q chillah akionekana juuu ya kitanda cha sita kwa sita kwnye ukumbi wa new maisha club . kiukweli ilikuwa raha sana show ilikuwa kali na ni kweli q chillah is bach meeeeen.
↧
↧
T.I.D,MAGWEAR WAKUTANA MARA 5 KWENYE KORABO TOFAUTI
Wasanii wawili wagogwe tanzania khalid mohamed T.I.D na ALBERT MAGWEAR wamekuwa wakishirikiana mara kwa mara katika nyimbo zao na zote uhit na kuwa nyimbo kubwa kutokana na uwezo wao wakuimba kwa wasanii hao.akiongea na x deejayz T.I.D asubuhi Hii baaba yakuona wimbo mpya wa magwear akimshirikisha t.i.d. TOP IN DAR alisema tuna nyimbo nyingi sana ambazo tumeshirikiana na magwear ambazo tumezitoa mpaka sasa hivi kama 5 lakini zipo zingine ambazo bado hazitoka na zote kali alizitaja nyimbo ambazo zimeshatoka ni SHE PERFOMR - GWEAR FT T,ID, KIUNO - T.ID FT GWEAR, A.K.A MIMI MAGWEAR FT T.I.D na huu tuliotoa leo wa magwear wa NO BEEF magwear ft t.i.d. xdeejayz ikataka kujua kwanini kila siku mnashirikiana hamuoni kama watu wanaweza kuzichoka korabo zenu T.I.D akajibu kwa kusema sie ni tam kubwa kama yanga na simba haziwezwi kuchokwa na wapenzi wake na milele zitabaki juu. tunaekewana sana ndio mana milele tupo pamoja.
sikiliza au dowload wimbo mpya wa magwar ft t.i.d unaoitwa beef hapa
↧
HII NDIO BIRTHDAY YA KINYAMA YENYE REDCAPERT@LEADERS CLUB LEO
Mwanadada ladynaa a.k.a mutoto mulito leo anasheherekea birthday yake ya kinyama yenye redcarpert leaders club kuanzia saa moja jioni mpaka mida ya sita usiku baada ya hapo after party NEW MAISHA CLUB.kwenye birthday hiyo ambayo MC benny kinyaiyas,dj kim na burudani kutoka kwa wasanii wa bongo fleva itakuwa ni yaklipkee kabisa na yenye bia zakusaza na mavyakula yakufamtu. HONGERA MUTOTO MLITO LADNAAA.
↧
PICHA KUMI NA 15 ZA MWANA DADA JENNIFER LAURENCE AKIVUA NGUO NJE YA GARI YAKE UFUKWENI
Mwanadada kipenzi cha wengi jennifer laurence star wa ma movie kibao makali ikiwemo ile ya THE HANGOVER mwishoni mwa mwenzi february alihjiachia kwenye ufukwe mmoja na baada ya kutoka kwenye maji kilichofuta ni kwenda kuvaa nguo zake hapo ndipo alikwenda kuvaa nje ya gari yake bila ya kizuizi chochote kile na bila kujali kama yeye ni mtu maarufu.kama unavyojionea kwenye picha moja baada ya nyengine hapo kati.
↧
XTREME PICTURE OF THE DAY
↧
↧
MSANII WA TAARAB TANZANIA HAMMER Q APATA MWENZA
↧
XTREME PICTURE OF THE DAY
↧
UZINDUZI WA ALBAM YA MAPACHA WATATU WAFANA
↧
XTREME PICTURE OF THE DAY
↧
↧
IRENE UWOYA AANIKA MAKALIO YAKE NJE
Cha kushangaza ni kwamba picha hii haimpi shida wala aibu......
Yeye anadai kwamba "yuko kikazi zaidi"....
Picha hii aliipiga wakati wakirekodi filamu Ya ONE BLOOD ya Tino na kuamua kuisambaza.....
Hii ni kali....Irene Uwoya kaamua kutuzawadia makalio yake na shanga zake......
haya sasa jionee mwenyeweeee michilizi ya utamu
↧
YALIOJILI KWENYE BIRTTHDAY PARTY YA LADY NAA A.K.A MUTOTO MULITO
LADY NAA...MTOTO MLITO KABALI YAO.....alipowasili leaders
Tarehe 28.2.2013 Ilikuwa siku yakuzaliwa Lady Naa....mtoto mlito
the C.E.O wa Most fun club.......iliofanyika kwenye viwanja vya
leaders.... This is Diamond inamtakia Maisha Marefu na Baraka
na Mafanikio......upendo na amani utawale kwenye maisha yake...
much love to lady Naa....!!
Tarehe 28.2.2013 Ilikuwa siku yakuzaliwa Lady Naa....mtoto mlito
the C.E.O wa Most fun club.......iliofanyika kwenye viwanja vya
leaders.... This is Diamond inamtakia Maisha Marefu na Baraka
na Mafanikio......upendo na amani utawale kwenye maisha yake...
much love to lady Naa....!!
Lady Naa n Gadner Dibibi.... |
Hapana Chezea mtoto mlito with Snura Mama Viuno.... |
Birthday Girl with Zuhura Gora ...... |
Lady Naa with yusuph mlela..... |
vibega tu sasa........with simple and birthday girl |
Hyper Man HK With Lady Naa |
`
+ |
Lady naa with Esma Platnum |
Benny Kinyaiya Daddy with Lady Naa |
Esma khan with Faridah.... |
Bi Sandrah.....Mama yake Diamond platnumz alipowasili Leaders club |
Hamish Donovan The Man Himself with Mose Iyobo |
Mark vidinge with Dumi utamu.... |
Lady Naa akikata cake...... |
Mose Iyobo along side with Dumi utamu.... |
Benny kinyaiya akilishwa cake kwa matashititi ya kihaya.... |
Steve Nyerere akilishwa keki na mtoto mlito Lady Naa |
Ney Nai Nai akilishwa keki....... |
Jacquline wolper in da building..... |
LADY NAA ALONG SIDE WITH UNCLE SALU |
DIVAZZZZ |
↧
XTREME PICTURE OF THE DAY
↧
ZILIZOINGIA SOKONI WIKI HII KWENYE BONGO MOVIEZ
↧
↧
RAIA WA UGANDA WAFUNGA NDOA YA JINSIA MOJA
↧
XTREME PICTURE OF THE DAY
↧
ANGALIA MAKING VIDEO YA WIMBO MPYA WA MATONYA SEMBULE
↧