Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Viewing all 1682 articles
Browse latest View live

YALIOJIRI SIKU YA VALENTINE'S DAY MAISHA CLUB MTWARA

$
0
0

Saturday, February 16, 2013

 

Dvj majey na hyperman hk waliwarusha sana wapendao siku hiyoooo

wafanyakazi wa new maisha club mtwara wakionyeshana upendo siku ya wapendanao

Huyu mdada mrembo ukiingia maisha unamkuta V.I.P anakatisha tiketi

Huyu hapa DJ ali bwege kutoka mtwara

Umati mkubwa ukipata burudani kutoka kwa dvj majey na hyperman hk

Watu wanakula bata zao

Nguo nyekundu zilitawala sana

Dj geogre wa new maisha club mtwara


Wapendanao wakijipatia kilimanjaro zao baridiiiiii wakitoka hapo nikujitoa kwenye mapenzi ya analogi na kuingia digital


UJIO MPYA WA Q CHILLAH NI NOUMER

OFICE YA WEMA SEPETU YAGHARIMU MILIONI MIA

KILI x deejayz YAFANYA BALAA NEW MAISHA CLUB DAR

$
0
0

 Mazawadi kibao kutoka kilimanjaro

 dj ommy crayze

 Mteja wa kilimanjaro akifurahia ubora wa bia bora ya kilimanjaro

 Kushoto hyperman hk, dj ommy crayze na dvj majey

 full calourd

 Mpaka wajapani walikuja kuwaona x deejayz

 Mtu mzima t bway na mtoto mkali

 full pozi


 Swaga za watoto wa kitaaa maishani

 Watoto wazuri wakumwaga maishani walijitokeza kuwaona  xdeejayz

kwaito mpya zilizopigwa na dvj majey ziliwainua watu kwenye viti vyao nakujitokeza kwenye stage kwa wingi sana

X DEEJAYZ POLI TO POLI NA MTOTO DAYNA KUELEKEA MTWARA

HOSPITAL HII NI KIBOKO INATIBU MAGONJWA YOTE SUGU

$
0
0

 Hospital mpya yenye mashine za kisasa imefunguliwa tabata hivi karibuni, watanzania tofauti wamemiminiaka kushuhudia ufanisi wa hospital hiyo ya kisasa inayotibu magoinjwa kama , kansa, moyo,kiuno,mgongo,miguu,kichwa,mbavu na kila aina ya magonjwa sugu.alielala hapo pichani ni mama yake na msanii wa muziki wa bongo fleva synage alikuwa anasumbuliwa na kansa lakini kwa sasa tangu aanze kutibiwa katika mashine za hospital hii anaendelea vizuri kabisa na ametoa ushuhuda kupitia x deejayz leo katika hospital hiyo ya masa ceragem tabat cenrter

 MASA CERACGEM TABATA CENTER

 Hospital iko tabata karibu kabisa na jengo la crdb tabata

 Hapo ni maeneo ya ndani ya hospital hiyo

 Mkurugenzi wa MASA CERAGEM TABATA CENTER LADYNAA

 Msanii wa bongo fleva PASHA ni mmoja kati yawatu waliowahi kushiriki matibabu katika hospital hiyo

 Wagonjwa mbalimbali wakipata matibabu katika machine mbalimbali za hospital hiyo

 Muhudumu wa hopspital ya masa ceragem ya tabata center akihudumua wagonjwa





Hosital iko vizuri kwakweli mie ni mmoja kati ya watu waliokwenda kushuhudia matibabu mbalimbali eneo hilo kama una mkonjwa yoyote na haujapata ufumbuzi basi mpeleke katika hospital hii utaona mabadiliko mbalimbali kwa mgonjwa wako na kupona kabisa kwa wale ambao wangependa kwenda kwa maelezo zaidi piga simu namba 0714403442.

Q CHILLAR KUWAFUNDISHA UNYAMA WASANII WA BONGO FLEVA JUMAPILI HII

ZILIZOINGIA SOKONI WIKI HII KWENYE BONGO MOVIEZ


XTREME PICTURE OF THE DAY

PREZOO MSTARI WA MBELE KWENYE IBADA YA KUMBUKUMBU YA GOLDIE

$
0
0
 Walikusanyika watu wengi Kumuombea Marehemu Goldie Denrele Edunu....
Prezzo,Karen Ogholo & Ola wa Big Brother Africa na wengine...!!

WIZ KHALIFA NA AMBER ROSE WAPATA MTOTO WAO WA KWANZA

PASTOR MYAMBA AFATA NYAYO ZA MAREHEMU KANUMBA

$
0
0

PASTOR MYAMBA aja na hii huku akiwa ameonesha uwezo mkubwa sana wakisanii wapenzi wa wasanii nchini wamemfananisha na marehemu kanumba kutokana na uwezo wake wa kufanya filamu kwa kiwango kikubwa kutokana na uwezo wake wakisanii pia. filamu hii imewakutanisha wasanii wakali wanaosumbua ndani ya industry hii ya bongo movie kama QUEEN JACKLINE PENZEL, MZEE CHILO,PATCHO MWAMBA, JENGUO na wengine kibao. usikose kuchukua nakala yako ujionee jinsi mwanadada QUEEN JACKLINE PENZEL alivyofanya hatari.

PICTURE OF THE DAY

CLUB MAISHA MTWARA YATOA SHAVU KWA MASHABIKI WAKE!

$
0
0
Na Mwandishi Wetu-Mtwara
Uongozi wa Club Maisha Mtwara imetoa ratiba ya kila wiki kwa mashabiki wake kwenye kiota namba moja cha burudani Mkoani huko.

Akiongea na xdeejayz meneja burudani wa Club hiyo Adamu Mchao alisema kuwa"Tumeamua kuboresha mipangilio ya burudani ndani ya club yetu ili kuendelea kuwapa neema ya kuwapa raha mashabiki wetu"Alisema Adamu

Hata hivyo Adamu aliongeza ratiba hiyo kama inavyoonekana kwenye flaya hapo juu itakuwa ya kila wiki lakini kila mwisho wa mwezi watakuwa wanafanya shoo maalum za wasanii wa bongo flava na hiyo inatokana na kuwajali mashabiki wao.



YALIOJILI TRIPLE BASH DODOMA NA XTREME DEEJAYZ


XTREME PICTURE OF THE DAY

$
0
0

bibi katisha sana na swaga za kileo

XTREME PICTURE OF THE DAY

KESI YA KAJALA YASOGEZWA MBELE

$
0
0

 Leo ndio ilikuwa itoke hukumu ya kesi ya mwadada mwenye jina kubwa tanzania mama mwenye mtoto mmoja,msanii wa bongo movies tanzania kajala masanja,hukumu hiyo imehairishwa mpaka tarehe 25 mwenzi wa tatu,akiongea na kachero wetu kwa njia ya simu mmoja wa marafiki wa karibu aliekuwepo kwenye kesi hiyo mahakamani leo amesema kutokana na kutokuwepo kwa baadhi ya wahusika katika kesi hiyo inamladhimu hakimu kuhairisha kesi hiyo mpaka tar 25 mwenzi wa 3. blog hii inamuombea kajala masanja kila la heri hili aweze kushinda kesi hiyo

kajala masanja

PICHA SABA KALI ZA BIKINI ZA MWANADADA AISHWARYA RAI SUPERSTAR WA FILAMU ZA KIHINDI

HAKUNA HAJUAE KESHO - PICHA ZA ENZI ZA MWALIMU

$
0
0


 










Guys mie kazi yangu ilikuwa kutafuta picha nimewawekea, sina cha kuongea wala cha kuongeza, watu na mashoga zao mjini
KUNA TATIZO KWANI??
KWANI SH' NGAPI???( in Kenzo's voice)

PICHA BY ZEDILICIOUS
Viewing all 1682 articles
Browse latest View live