Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Browsing all 1682 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SINTAH BWANA KWA KUJISHAUA ETI LEO HII ANAMKUBALI WEMA TENA WAKATI ALIWAHI...

Mmmh makubwa ya wakubwa waliompigia kura ndio hao wanamchambua huko insta, yaani Instagram ni ya kiswahili sana, nasubiri siku niamke nikute imefungwa, maana majority hawana kazi ya kufanya zaidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGANGA WA MASTAA AREJEA NCHINI TOKA BURUNDI KAZI KUHAMIA MKOA WA MWANZA SASA...

 MGANGA MAARUFU WA MASTAA NCHINI DOKTA KAMDEGENa Mwandishi Wetu- MwanzaJIji la Mwanza na vitongozji vyake wwanatarajia kufanya mapokezi makubwa ya kumpokea mganga maarufu wa miti shamba Dokta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AL SHABAB WATANGAZA KUINGAMIZA KENYA TENA, SAFARI WASEMA WATAFANYA MAUJI YA...

Na Mwandishi wa Xdeejayz KenyaTishio la kigaidi lina kodolea macho taifa la Kenya baada ya kundi la kigaidi lililo na makao yake makuu nchini Somalia kuachia video nyingine kwenye mtandao wa Al-Kataib...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIRI IMEFICHUKA SABABU YA CHID BENZ KUMPIGA MSICHANA WA ILALA KUMBE CHANZO...

Inasemekana April 20 Mwanadada Aisha Sued ambaye ni mkazi wa Ilala karibu na Kituo cha basi Msaada Garage amedai alishambuliwa na Chidi Benz na kuumizwa vibaya mdomoni hadi kushonwa nyuzi 18.Tukio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUE MAMISS TANZANIA WALIOJITOKEZA NA KUSEMA HADHARANI KUWA WANASUMBULIWA NA...

Miss Tanzania wawili, Happiness Millen Magese (2001) na Angela Damas (2002), wamejitokeza na kujitangaza wazi kuwa ni miongoni mwa mamilioni ya wanawake duniani wanaosumbuliwa na tatizo liitwalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA KILICHOANDIKWA KWENYE GAZETI LAKO PENDWA LA MASKANI BONGO JUMTANO...

\

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANGAZAJI HUYU AKITIA NAJISI KITUO CHA ITV KWA NJAA ZAKE, AKAMATWA AKIIBA...

Mtangazaji wa Radio One Rachel Udoba amekamatwa huko Atlanta/USA baada ya kukutwa akiiba katika duka ,, mtandao wa georgia-mugshot-search.com umethibitisha taarifa hizo, huku msichana huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAE YAMETIMIA RADIO MPYA HIYO MIKONONI MWA MASHABIKI UZINDUZI WAKE...

 DIAOMONDNa Livingstone MkoiTangia iachiwe hewani tarehe 2 mwezi huu Radio mpya inayopatikana kwenye masafa ya 93.7 Fm Dar es Salaam hatimae uzinduzi wake unakaribia ambapo mashabiki na wasikilizaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WAMSHAURI RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE KUVUNJA BUNGE LA KATIKA..!

Rais Jakaya Kikwete akihutubia bungeni Dodoma.BAADA ya kutokea kwa sintofahamu ndani ya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kwa wabunge wanaounda umoja wa Ukawakutoka nje, wengi wamemtaka Rais Jakaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO NDIYO LEO USIKU WA BUNYEROBUNYERO NDANI YA CLUB MAISHA NI MPAMBANO MKALI...

 MOJA YA WAKINA DADA WANAOTARAJIA KUTIKISA LEO NDANI YA CLUB MAISHA DAR KWENYE USIKU WA BUNYEROBUNYERO.  LEO PATAKUWA HAPATOSHI WAHI KUFIKA PALE KUSHUHUDIA NANI MKALI  BALAA TUPU HIVI NDIVYO WASHINDANI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASTAA KIBAO LEO NDANI YA USIKU WA BUNYEROBUNYERO, KIBAO KATA NA BAIKOKO...

Usiku wa leo utakuwa wakukumbukwa ndani ya Club Maisha Dar kufuati maelfu ya wakazi wa jiji la Dar  watakapojichanganywa kwenye usiku wa Bunyerobunyero utakaoanza saa tatu.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZIMU WA MAREHEMU SHALO WAMMALIZA KITALE, KASHFA YA KULA PESA ZA KUMALIZA...

 MAMA SHALO AKILIA KWA UCHUNGU SIKU YA MSIBA WA MWANAE KITALE AMBAE SASA HIVI AMEPOTEA KWENYE GAME BAADA YA KIFO CHA SHALO.Na Sakina ShabaniMsanii chipukizi wa maigizo ya kuchekesha na muziki Kitale...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUH, MWALIMU HUYU NA HIZI FIMBO HUKO SHULE KUTANUKA VIBAYA..!

MWALIMU HUYU WA SHULE YA MSINGI MBORI ILIYOPO WILIAYA YA MPWAPWA MKOANI DODOMA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA CHARLES MSANJIRA AKIWA NA FIMBO KIBAO AMBAZO ANAINGIA NAZO DARASANI. XDEEJAYZ TANZANIA "XDTZ"

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBAKA ALIYEKUWA NA UWEZO WA KUKABA WATU 10 PEKE YAKA AUWA KWA MOTO ALIENDA...

Marehemu Majaliwa akiwa hoi hospitalini kabla ya kufariki duniaKwa mujibu wa taarifa zilizopatikana zinasema kuwa Majaliwa alifariki dunia muda mchache badae wakati akipatiwa matibabu hospitalini hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMBER ROSE DEMU WA WIZ KHALIZA AONYESHA UWEZO WA KU-TWERK KWA SAKUNDE CHACHE

Moja ya wanawake ambao wamepata umaarufu kwa ku-date ma-superstar ni Amber Rose na wenzake ni Kim Kardashian,Black Chayna na wengine with no specific job just hotness.Amber Rose ambaye ana mtoto mmoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

H. BABA APONGEZWA KWA KUMKUMBUKA MAREHEMU COOL JAMES MAARFU KAMA MTOTO WA...

H.baba kutoka wikiendi iliyopita amefanya ziara ya kutembelea familia ya James Dandu ambayo iko Mwanza ambapo pia alifika mpaka lilipo kaburi lake Ngudu, Kwimba hapo H.baba alipalilia pamoja na kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWISHO WA UMALAYA NI AIBU, HUYU NDIYE MFANYABISHARA MAARUFU WA MADUKA YA SIMU...

 HUYU NDIYE MFANYABISHARA MAARUFU JINA LINAHIFADHIWA KWA SASA AKIWA BAFUNI MARA BAADA YA KUFUMANIWA MOJA YA GARI LA MFANYABISHARA HUYO AMBAE WAKATI MWINGINE HUFANYIA NGONO NDANI WANAWAKE BILA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AL SHABAB WATIZMIZA AHADI YAO NCHINI KENYA BOMU LALIPUKA NA KUUWA POLISI...

Bomu linaripotiwa kulipuka kwenye gari na kuuwa watu wanne ikiwa ni Polisi wawili na abiria wawili ambao wanashukiwa walikuwa na bomu hilo kwenye gari karibu na kituo cha Polisi cha Pangani.Lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOBA WAKATI VIKAO VYA HARUSI VIKIENDELEA MCHUMBA WA M2 APIGA PICHA ZA UCHI NA...

Na Sakina ShabaniAma kweli dalili ya mvua ni mawingi hivi ndivyo jamaa mwenye mchumba huyu pichana amegundua mapema tabia ya mchumbaake aliyemtolea mahari kwa ajili ya kumuoa mwezi wa sita mwaka hu.Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNYANYASAJI HUU KWA WANAUME UKOMESHWE, WANAWAKE WA KIGOGO DODOMA WATAKIWA...

Na Mwandishi wa Xdeejayz DodomaWanawake Mkoani Dodoma wenye tabia ya kurofi kwa wanaume zao wametakiwa kuacha mara moja kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria vilevile.Kwa mujibu wa watafiti wa mambo...

View Article
Browsing all 1682 articles
Browse latest View live