Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1682

KIBAKA ALIYEKUWA NA UWEZO WA KUKABA WATU 10 PEKE YAKA AUWA KWA MOTO ALIENDA KUFIA HOSPITALA TIZAMA ALIVYOKUWA NA ROHO NGUMU..!

$
0
0



Marehemu Majaliwa akiwa hoi hospitalini kabla ya kufariki dunia
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana zinasema kuwa Majaliwa alifariki dunia muda mchache badae wakati akipatiwa matibabu hospitalini hapo kutokana na kuungua vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake. Hata hivyo mmiliki wa Nyumba iliyobomolewa madirisha hayo bado hajajulikana kutokana na kuwa bado inaendelea kujengwa. 


fundi-ujenzi-afariki-dunia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1682

Trending Articles