Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Viewing all 1682 articles
Browse latest View live

BIA YA KILIMANJARO IMESAINI MKATABA NA BARAZA LA SANAA KUENDELEA KUDHAMINI TUZO ZA MUZIKI TANZANIA KWA MUDA WA MIAKA MITANO

$
0
0

 

inafurahi kuwatangazia wapenzi wote wa burudani kuwa KILIMANJARO imesaini mkataba na Baraza la Sanaa Tanzania, (BASATA) kuendelea kudhamini Tuzo za Muziki Tanzania kwa miaka mitano zaidi hadi mwaka 2018. Hafla fupi ya kusaini mkataba huu imefanyika leo katika ofisi za TBL na kuhudhuriwa na viongozi wa BASATA pamoja na COSOTA. Kilimanjaro Music Awards mwaka huu itafanyika Juni 8 katika ukumbi wa Mlimani City. Majina ya wanamuziki watakaogombea tuzo yatatangazwa karibuni kabla ya upigaji kura kuanza


KUNDI LA SHOSTEEZ LAZIDI KUKUBALIKA NA KUPAA

$
0
0

 

 Shosteez wazidi kupaa!! Hivi karibuni imebainika kuwa Salma Mahin, Menynah Atick na Nuru wamekula shavu la kufanya tangazo la kinywaji kikubwa duniani na sasa wanakuja na kipindi chao cha Television chini ya usimamizi wa Lamar. Tunasubiri kwa hamu mambo mengi kutoka kwao...tuendelee kuwapa support wazidi #KUFUNGUKA!

MENYNAH

Salma and nuru

SHOSTEEEZ

  Menynah

XTREME PICTURE OF THE DAY

TAIFA STARS YAIPA KIPIGO KIKALI MOROCCO

$
0
0

Taifa Stars 3-1 Morocco
Taifa Stars imefanya kile Watanzania walichowatuma baada ya kuwalaza Simba wa Atlas kwa mabao matatu kwa moja. Kipindi cha kwanza Stars walicheza kandanda la kuvutia na kupoteza nafasi nyingi za wazi huku Mbwana Samatta akionekana kuwa mwiba mkali kwa beki ya Morocco muda wote. Katika kipindi cha pili, Thoma Ulimwengu akitokea benchi alifunga bao la kwanza baada ya kuunganisha mpira wa kona, Dakika ya 66 ilikuwa ni Mbwana Samatta ambaye alimchambua golikipa wa Morocco na kufunga bao la pili na kuongeza bao la tatu katika ya 80. Stars iliendelea kushambulia kwa kasi huku ikigonga mwamba mara mbili. Dakika ya 90 Morocco ilipata bao la kufutia machozi na hivyo mchezo kuisha kwa 3-1.

CHECK OUT PICHA ZA HARUSI YA 2 FACE IDIBIA TAZAMA ILIVYOKUWA.

$
0
0

 


Celebrity Guests


Ini Edo, Kate Henshaw & Mike Ezuruonye





Tunde Demuren & Banky W



Tunde Demuren, Ubi Franklin & Banky W

NEMBO MPYA YA KILI XTREME DEEJAYZ,

XTREME PICTURE OF THE DAY

CHIDY BENZI AMPA KICHAPO KIKALI MANGWEAR

$
0
0

 

 Msanii wa hih hop chid benz usiku wa juzi katika club moja ya usiku iliyopo maeneo ya mjini alimpiga ngumi nyingi sana msanii mwenzake mangwear mpaka kulazwa na kushonwa nyuzi zisizopungua kumi.

 alipoulizwa kuhusu sakata hilo alikubali na kusema pombe ndio imesababisha kutokea ugomvi huo.

 chidy benz

Mangwear Na t.i.d


BREAKING NEWZZZZ!! KAJALA AACHIWA HURU, WEMA AMLIPIA FAINI YA MILIONI 13!!

$
0
0

 







MSANII Wema Sepetu amemlipia faini ya shilingi milioni 13 msanii mwenzake, Kajala Masanja, na kumfanya awe huru. Mapema leo, hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili mcheza filamu za Kitanzania anayefahamika kwa jina la 'Kajala Masanja' na mumewe mbele ya Hakimu 'Sundi Fimbo' kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es salaam.

Katika hukumu hiyo 'Kajala' amehukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilingi milioni 13 na mumewe kwenda jela miaka saba au kulipa faini ya shilingi milioni 200.

Kajala alikuwa anakabiliwa na kesi ya kuuza nyumba iliyowekwa kizuizini na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) baada ya mumewe 'Faraji Agustino' kukumbwa na makosa ya kutakatisha fedha haramu.

Hata hivyo baada ya hukumu hiyo kutolea mahakamani hapa, mwanadada maarufu hapa Bongo anayefahamika kwa jina la Wema Sepetu' aliweza kujitolea yeye mwenyewe kiasi cha Tsh. milioni 13 kutoka mfukoni mwake kwa ajili ya kumlipia msanii mwenzake wa filamu 'Kajala' asiweze kutumikia adhabu ya kifungo hicho cha miaka 5 jela.

Hii ni mara ya pili kwa msanii 'Wema Sepetu' kujitolea kiasi kikubwa cha fedha kusaidia msanii mwenzake.!

Kwa sasa Kajala yupo nyumbani kwao maeneo ya Oysterbay jijini Dar es Salaam pamoja na ndugu na jamaa.

ZEDDYLICIOUS BLOG INAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AKUZIDISHIE WEMA SEPETU KATIKA KILA UTALOLIFANYA, NI WACHACHE SANA WENYE MOYO KAMA WAKO!!

LOVENESS LOVE ''DIVA'' AJUTA KUGAWA PENZI KWA MO RACKA

$
0
0

 



Diva alhamisi iliyopita alifunguka kuhusu kosa kubwa alilolifanya katika maisha yake tangu azaliwe. Na alichosema kajuta ni kua na uhusiano wa kimapenzi na msanii Mo Racka. Hiki ndicho alichokiandika Twitter jana usiku

FINA MANGO AVAMIWA NA MAJAMBAZI 8

$
0
0


Alitewahi kuwa mtangazaji wa Clouds FM, Fina Mango, amevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia jana, akiwa nyumbani kwake na familia yake.majambazi hayo yapataya 8, yalivamia na kuchukua pesa taslim, pamoja na mali kadhaa ambazo Fina hakutaja ni mali gani na fedha kiasi gani pale alipoandika kupitia mtandao wa twitter.

nimejaribu kumtafuta kwa ajili ya info zaidi, lakini hakuweza kupatikana baada ya kuambiwa simu yake pia ni moja kati ya vilivyobebwa na majambazi hayo. katika tukio hilo hakuna aliejeruhiwa

WATOTO WAKIKE MPO? HIZI HAPA STYLE TOFAUTI ZA NYWELE ZA RIHANNA 15

$
0
0

 














Hakuna twende kilioni hata moja au kwa mjumbe kuna ngoma au kilimanjaro chezea rihana weweeeeeeee!!!!!!

XTREME PICTURE OF THE DAY

ZILIZOINGIA SOKONI WIKI HII KWENYE BONGO MOVIEZ

YALIOJILI KWENYE MWAKA MMOJA WA NEW MAISHA CLUB MTWARA

$
0
0

 

 Dvj majey na hyperman hk
 mteja wa kilimanjaro akijipatia zawadi ya bit by dre kutoka kilimanjaro
 Totoz za mtwara zilihusika poa sana maishani siku hiyo
 hyperman hk na dvj majey wakifanya yao
 dvj majey
 Umati wa nguvu wakila ngoma kali kutoka kwa xtreme deejayz
 makwaito kwa sana tu
 hyperman hk akiwaimbisha kwa hisia kali
 totoz za mtwara zikijiachia na kili xtreme deejayz
 Mizuka ikipanda imepanda hakuna wakuizuia weweeee
 Dj ali bwege a,k.a mchokoleka
 Huyu alicheza mpaka ukumbi mzima ukacheka alipagawa na xtreme deejayz
 Dj bwege

 FIL G mnyama akishow love na dadaz wa mtwara
Kenny rolin na Ema mapesa

YALIOJILI KWENYE SHOW YA EPIQ BSS MTWARA

$
0
0

 

 Nsami
 Hapana chezea HUSNA
 HUSNA
 MAVOCO
 DJ GEOGRE
 RUS na EDDY mzee wa buuuuuu
 dj bwege,hyperman hk,na amd cloude


 ulinzi ulikuwa wakutosha sana



 LINNAH a.k.a ndege mnana
 Hapana chezea wafanyakazi wa new maisha club mtwara wana uzuri wao bana na heshima zao mkoani
 KIDUKU KILIHUSIKA SANA
 HYPERMAN HK AKIONGEA A WATU WAKE
 GEOFFREY
 MAVOCO
 NSHOMA
 MENYNAH
 BARNABAS
 MENYNAH
 BARNABAS
 DJ BWEGE
 NORMAN
 WALTER CHILAMBO
 WABABA
 BEN PAUL
 BEN PAUL
Hyperman hk alisimamia show

DIAMOND ATISHA MBAYA UKELEWE....

$
0
0

 

Ilikuwa Moja ya Show zangu kwenye Tour yangu ya kanda ya Ziwa
na Hii Ilikuwa Ukelewe Tarehe 15 mwezi wa 3 mwaka huu
.....Nashukuru Mungu Show ilienda Safi
Na wananchi wa Ukelewe walipokea viilivyo Ujio wa Rais
wa Wasafi na Nilikihamsha Kisafi Zaidi...

Zifuatazo ni Picha za Matukio ya Usiku Huo Ukelewe
na Crew nzima ya wasafi...!!
RAMA MPAUKA & MOSES IYOBO....
Umati wa watu walijitokeza kumsubiria President wa Wasafi
ukumbini....watu hadi kwenye Mitii...



Wachafuuuu wakianza Ustarabu wao Stejini....






Yanii....Hivii....Vile...kama kawaida yetu...!!


Ulinzi ulihimarishwa na Jeshi La Polisi la Tanzania...Ukumbini hapo
















Huu ulikuwa umefika Muda wa Kulewa time....
wananchi wa ukelewe wliokuwepo ndan ya Ukumbi walishindana
kulewa kwa style hiyo...















Watu walikuwa busy na simu zao na Kupiga 
picha na  kurekodi matukio Muhimu
Huku Show zikiendelea...Ni Mambo ya Digital TU

Nikiwashukuru Mashabiki wangu kwa kushow Love Kwangu
AMANI NA UPENDO NDIO LUGHA YA KWETU KIGOMA

XTREME PICTURE OF THE DAY

MA SNAP YA MAKING VIDEO YA WIMBO WA SHELTA - USILETE UKIMWI NYUMBANI

$
0
0

 



























Naamini kitatoka kitu chakinyama sana soon video itakuwa hewani kaa tayari

HAMISA HASSAN ON HARUSI TRADE FAIR MAGAZINE (2013)

Viewing all 1682 articles
Browse latest View live