↧
MUNGU WANGU, HII NDIYO HABARI KAMILI YA MTOTO WA MIAKA 7 ALIVYOLAWITIWA NA...
Hamida Mlima na Zuwena NyemboKwa hali isiyo ya kawaida kika kukicha matukio ya aina hii yanazidi kutokea bila hata ya sheria kuchukua hatua na kuishia watuhumiwa kukamatwa na kutolewa nje kwa kutoa...
View ArticleKIONGOZI WA KUNDI LA WATOTO WA MBWA ALIVYOTEKETEKEZWA NA MOTO HADI KUWA...
WANANCHI WA MAGOMENI SOMANGA WAKIUTIZAMA MWILI WA ROGER.AFSA WA POLISI WA KITUO CHA MAGOMENI AKIUUTIZAMA MWILI WA ROGER.Na Livingstone MkoiKatika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua kumbe yule kijana...
View ArticlePICHA ZA UTUPU ZAMPONZA NAIMA APIGWA TARAKA 3, MTOTO WA KIKENYA AKAMATA...
NAIMA SHAA AMBAE PICHA ZA UCHI ZIMEMPONZA Mwanamitindo nyota toka Kenya, Vera Sidika "Vee S Beiby" ambae kwa sasa amenasa kwenye penzi la Kigogo wa Ikulu. MR& MRSNa Livingstone MkoiIkiwa imepita...
View ArticleJE UVAAJI CHENI MIGUUNI ZINA UHUSIANO GANI NA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE...
Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu urembo huu wa kuvaa cheni za miguuni. Wengi wamekuwa wakisema kuwa cheni hizo zinamaanisha kwamba mvaaji anaonyesha kwamba yeye anaweza mapenzi ya kinyume na maumbile,...
View ArticleMIJIMAMA YA AJABU KUTIKISA LEO CLUB MAISHA NI USIKU WA BUNYERO BUNYERO VS...
LEO HII MIJIMAMA YENYE MAUMBO YA AJABU NI LEO KUCHUANA VIKALI HUKU WAKISINDIKIZWA NA MAKUNDI YA KIBAO KATA NA BUNYEROBUNYERO LIVE HIYO VYOTE MNAKARIBISHWA BABAAKE.KESHO NI KESHO KWENYE USIKU WA LIVE...
View ArticleNI WIKI YA MAJANGA CLUB MAISHA ZOTE TANZANIA MOTO MKUBWA UTAWAKA ANGALIA...
HIVI NDIVYO ITAKAVYOKUWA KIAMA TAREHE 30 JUMAPILI HII CLUB MAISHA MOROGORO, DODOMA, MBEYA NA DAR NI MOTO WA BURUDANI HAIJAWAHI TOKEA.
View ArticleCHAMELEONE NI NOMA KWA PESA ANGALIA HAPA ANAHESABU VIROBA KUMI KWA MASHINE...
Mkali wa nyimbo ya Tubonge kutoka Uganda, Jose Chameleone ambaye ni mmoja kati ya wanamuziki wa Afrika anayetajwa kuwa ana utajiri mkubwa sana, ameonyesha jeuri ya pesa kwa kuzihesabu kwa kutumia...
View ArticleSHILOLE ATEMBEA NA KAVULANA KENYE UMRI SAWA NA MWANAE WA KWANZA, TIZAMA HAPA...
KWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki wa Bongo Fleva, Nouh...
View ArticleKUMBE UGOMVI WA WOLPER NA UWOYA CHANZO KILIKUWA KUGOMBANIA PEDESHEE, LAKINI...
Irene Uwoya na Jackline WolperUle uhasimu uliokuwepo kwa takribani miaka miwili sasa kati ya mastaa wakubwa na warembo Swahiliwood Jackline Wolper na Irene Uwoya hatimaye umefikia tamati baada ya...
View ArticleMWALIMU MKUU WA SHULE YA SERIKALI ANASWA AKIJIUZA, ASEMA KUCHELEWESHEWA...
Mwalimu akiwa ameduwaa baada ya kunaswa kwenye sakata hilo. Wakati Wakristo bado wapo kwenye Kwaresma, mama aliyejitambulisha kuwa ni mwalimu wa shule ya msingi, amenaswa laivu akijiuza maeneo ya...
View ArticleMMH SASA HAYA MATANI ONA WEMA SEPETU ANAVYOMFANYA DIAMOND KUWA KAMA DEMU,...
Wema baada ya kuhangaika kulitafuta wigi lake, hatimaye akambamba baby wake kalivaa Lol, akampiga picha, akaitupia Instagram na kuisindikiza na maneno haya:
View ArticleANGALIA PICHA ZA RAIS UHURU KENYATA ALIVYOSIMAMISHA GARI NA KULUA CHAKULA KWA...
Vituko vya mara kwa mara haviishi kwa Raisi wa Kenya, Bwana Uhuru Kenyata, ambapo wiki hii wakati alipotoka kwenye mkutano wake yeye na marais wengine aliamua kusimamisha msafara wake na kupata chakula...
View ArticleALLY KBA SASA AVUNJA UKIMYA ONA BALAA ALILOZUSHA, DIAMOND SASA HOFU NA...
Baada ya Muda mrefu kukaa bila Single Mpya kutoka kwa mkali Ali Kiba sasa Mkali huyo ameamua kutoa Single hii hapa chini ..Embu Isikilize hapa alafu useme kama Itabamba:
View ArticleANGALIA PICHA ZA MASTAA HAWA WALIVYOKUWA KABLA YA KUWA NA MAJINA MAKUBWA HAPA...
Wema SepetuAli KibaRay CDiamond PlatnumzJokate MwengeloJe, nani kabadilika kuliko wengine
View ArticleWAISLAM KUMTENGA DIAMOND KISA UPUUZI HUU ANGALIA HAPA ALICHOKIFANYA...
Kijogoo wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz akicheza staili ya Ngololo kwenye kaswida.KIJOGOO wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewachefua waumini wenzake wa Kiislamu baada ya...
View ArticleUKUHADI WAMTOKEA PUANI PATCHO MWAMBA, WOLPER NA PEDESHEE LA KIKONGO WAITEKA...
Staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper Masswe.Mambo hadharani! Kigogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anayewagombanisha mastaa wawili Bongo, Jacqueline Wolper Massawe na Husna Maulid...
View ArticleNJAA MBAYA JAMANI ANGALIENI SIMBA ALIVYOMCHENJIA MAMBA KISA MZOGA WA KIBOKO...
Ni jambo la nadra sana kuona wanyama wanaosifika kwa kuwala wenzao mbugani kuonekana wakipambana, katika picha hizi zilizopigwa na mtaalam wa masuala ya teknolojia kutoka San Francisco nchini Marekani,...
View ArticleANGALIA PICHA ZA OMMY DIMPOZ ANAVYOENDELEA KUKIMBIZA HUKO UMANGANI..!
Ni zamu ya staa wa bongofleva anayetajwa kuwa wa pili kwa kupokea malipo makubwa kwenye show mbalimbali anazozifanya (milioni nane kwa show za ndani ya nchi).Siku kadhaa baada ya kutua Tanzania...
View Article