↧
HALI YA BABA WA 20% PACENT SIO NZURI ALAZWA MUHIMBILI!
Mwanamuziki 20% Pacent Na Livingstone MkoiBaba mzazi wa mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini Abasi Kizansa (20% Pacent) mzee Kizansa inadaiwa hali yake sio nzuri kutokana na upasuaji...
View ArticleMASIKINI MSANII MATUMAINI AFYA YAKE NI MBAYA,WATANZANIA WATAKIWA KUMUOMBEA!
Msanii nyota wa komedi nchini Matumaini ambae inadaiwa anaumwa sana na hali yake ni mbaya huko nchini Msumbiji ambako alikuwa anaishi huko.
View ArticleTOUR YA TIMU YA DAR LEOPARD CLUB ILIVYOCHENGUA MKOANI IRINGA MWISHONI MWA JUMA!
Watoto washabiki wa mchezo wa rugby wakipiga picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Dar Laopard ya Jijini Dar iliyokuwa nchini Zambia na Mkoani Iringa. Baadhi ya wachezaji wa timu ya Dar Leopard Club...
View ArticleSNURA NA SHILOLE WAFUNIKANA DAR LIVE
Ilikuwa raha sana kiukweli show ilianza kwa shilole kufanya yake baaadae snura nae aliingia kufanya yake kiukweli ilikuwa raha sana. JUMAPILI HIII USIKOSE PALE NEW MAISHA CLUB snura atafanya yake...
View ArticleMWANAMUZIKI ALEX WA MACHEJO ANUSURIKA KUULIWA,WANANCHI WENYE HASIRA WAMJERUHI...
Mwanamuzi wa bongo flava Alex Machejo akiwa na baadhi ya wasanii wa komedi Alex Machejo akiwa nyumbani kwa bibi yake mwananyama Jijini Dar akijiuguza pichani kama anavyoonekana siku alipotembelewa na...
View ArticleBLOG YA XDEEJAYZ YATIKISA NCHINI AFRIKA KUSINI,MTANGAZI WA AFRIKA MAGIC...
Mtangazaji ambae ni mtanzania anayetangaza Afrika Magic Swahili, nchini Afika Kusini Fortunatus Kasomfi akiwa picha ya pamoja na mtangazaji wa Clouds Fm Adamu Mchomvu.Fortunatus KasomfiNa Livingstone...
View ArticleWAHESHIMIWA WABUNGE,TRIPLE BASH KUACHA HISITORIA NDANI YA MAISHA CLUB DODOMA...
HEMED KAVU (HK) A.K.A HYPERMANNa Livingstone MkoiWakazi wa mji wa Dodoma na vitongoji vyake Ijumaa ya wiki hii wanatarajia kupata kushuhidia shoo ya kijanja itakayofanyika ndani ya Maisha Club, huku...
View ArticleBAMBO AUGEUKIA MUZIKI WA INJIRI, AINGIA STUDIO!
Dickson Samsoni Makwaya a.k.a BamboNa Livingstone MkoiMsanii nyota wa maigizo nchini Dicksoni Samsoni Makwaya a.k.a Bambo ameingia studio kurekodi muziki wa injiri akiwa na mchungaji maarufu...
View ArticleKILI XTREME DEEJAYZ KUWASHA MOTO KWENYE LADIES NIGHT NEW MAISHA CLUB DODOMA...
Baada ya kufanya poa mtwara na dar es salaama wale wakali wa madeejayz tanzania KILI XTREME DEEJAYZ Alhamisi ya leo wapo NEW MAISHA CLUB dodoma kutoa burudani kali . Huku mashabiki watarazimika...
View ArticleNEW SONG (AUDIO) by SNURA - MAJANGA
http://www.hulkshare.com/f4p75h1d9kw0 SIKILIZA MZIGO MPYA WA SNURA - MAJANGA Halafu jumapili hii tukutane new mausha club kwenye VIUNO SHOW hii sio yakukosa kabisa kiingilio elfu 8 tu wasanii kibao...
View ArticleMBWANA MATUMLA ANAOGOPA KUPAMBANA NA MIMI TENA:FRANCIS MIYEYUSHO
Bingwa wa Dunia WBF,UBO Mtanzania Friancis MiyeyushoNa Livingstone MkoiBingwa wa mabara wa dunia nchini Francis Miyeyosho ameibuka na madai kuwa bondia Mbwana Matumla anamuhofia kupigana nae kwa vile...
View ArticleUKIMWI WATEKETEZA MAMIA YA WAHUDUMU KITUO CHA MABASI UBUNGO!
Mkusanyiko wa watu kama huu ndani ya kituo cha mabasi Ubungo umedaiwa kuongeza maambukizi hatari ya ugonjwa wa ukimwi. Eneo la kituo cha mabasi Ubungo kama kinavyoonekana.Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mh...
View ArticleNYIMBO ZA MWANAMUZIKI MANAIKI SANGA KUMPATIA MAMILIONI YA SHILINGI!
Mwanamuziki nyota wa bongo flava nchini Manaiki SangaManaiki Sanga.Na Livingstone MkoiNyimbo za mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipy nchini Manaiki Sanga zimeinginzwa kwenye mtandao kwa ajili...
View ArticleSUMA LEE ASHINDWA KUHUDHULIA MAZISHI YA BABAKE MZAZI
Msanii suma lee ameshindwa kuhudhulia mazishi ya babake mzazi alie fariki alhamisi iliyopita.hii imetokana na kukosa kibali chakusafiria cha muda...
View ArticleYALIOJILI KWENYE USIKU WA VIUNO SHOW NEW MAISHA CLUB DAR NA SNU SEXY
Snur sex kwenye viuno shw New maisha club ilikuwa hatari sana kiukweli show ilikuwa hot mwanzo mwisho kila alikuwepo jana alikuwa anajua wazi kuwa kilichofanyika ni sawa na pesa aliyolipia,majanga...
View ArticleXTREME DEEJAYZ WAKIWA NJIANI KUTOKEA DODOMA MAENEO YA MBANDE WANAKULA NYAMA
Dvj majey na hyperman hk wakiwa maeneo ya mbande karibu kabisa na mji mkuu wa tanzania dodoma Hapa nilikuwa naongea na simu na dj choka 'hoya mzazi niko maeneo ya mbande dodoma ngoja nile nyama...
View Article