↧
KIM KARDASHIANI NA KANYE WEST WAMFICHA MTOTO WAO HASIONEKANE NA MAPARAZI...
Picha ya North West mtoto wa Kanye West na Kim Kardashin inaweza kuwa ndiyo picha ambayo ilikuwa inatafutwa kwa muda mrefu sana. Hatua ambayo mapaparazi wamefikia hivi sasa sio mbaya japokuwa bado...
View ArticleNEWS:CHEKI HAPA NOMINEES WA TUZO ZA MTV VIDEO MUSIC AWARDS(VMA)
Mtu wangu wa kweli waeza ukawa unajua lakini nipo hapa kukujuza zaidi...uko unyamweziniKituo nguli Duniani kwa maswala ya muziki kutoka nyanja zote za dunia kila ifikapo kipindi fulaniau tarehe fulani...
View ArticleMTANGAZAJI GANI WA KIKE ANAKUVUTIA SANA KATI YA HAWA?
1.Vanessa mdee2.Salama jabir3.Dj fetty4.DivaMtangazaji gani unaemkubali sana kati yao!!!!!
View ArticleSNURA AWAVURUGA MASHABIKI WAKE CLUB 71 TEGETA
Yule mwanadada mwenye mbuno za kutosha SNURA usiku wajana aliwavuruga wakazi wa tegeta kwa show kali sana kiasi kila aliekuwepo katika ukumbi huo wa tegeta alikubali kazi ya huyo dada kazi ilikuwa...
View ArticleMISS UTALII ALIYEPIGA PICHA UCHI ANUSURIKA KUULIWA KWA KIPIGO TOKA KWA...
Fathiya Alfan "Mrembo wa Facebook" akiwa hoi baada ya kipigo cha mbwa mwizi alichokipata toka kwa mumeweMrembo wa Facebook Miss UtaliiDuh nakozi zinauma kumbe? Sitaki tena umaarufu kudadeki! Moja ya...
View ArticleAAHA HAKI YA MUNGU ITAKUWA HATA SHETANI ANASHANGAA HALI YA UKATILI...
Ikiwa ni siku chache baada ya mwnamke mmoja mkazi wa kahama kubakwa na kutobolewa macho huku akichomekwa kisu sehemu zake za siri, mitandao ya kinigeria nayo imeripoti unyama...
View ArticleANGALIA SINEMA ILIVYOKUWA KATI YA MAJAMBAZI NA POLISI. ILIKUWA KAMA MUVI LA...
MAJAMBAZI jana yalifanya onesho la aina yake jijini Dar es Salaam, baada ya kupora mamilioni ya shilingi katika kituo cha mafuta cha Lake Oil, Buguruni Malapa na kumwaga fedha hizo kwa wananchi maeneo...
View ArticleMAMA NA MTOTO WACHINJWA KAMA MBUZI NA KUBANIKWA KAMA NDAFU. IMANI ZA...
Mama na mwanae wameuawa kikatili baada ya kukatwa mapanga na baadhi ya viungo vyao kuchomwa moto katika tukio linalohusishwa na imani za kishirikina lililotokea mkoani Shinyanga.Wanawake hao vikongwe...
View ArticleHIVI NDIVYO DEREVA WA DALADALA ALIVYONUSURIKA KULAWITIWA BAADA YA KUFUMANIWA....
Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Temba, mkazi wa Kimara-Rombo, Dar ambaye ni dereva wa daladala amefumaniwa laivu na mkewe akiwa gesti na binti yao wanayemlea.Tukio hilo la aina yake lilijiri...
View ArticleMFANYABIASHARA WA MITUMBA KARIAKOO AMFANYIA UNYAMA WA KUTISHA MKEWE SOMA HII...
Tajiri ambaye ni mfanyabishara mkubwa katika maduka ya Kariakoo, Dar aliyetajwa kwa jina moja la Urio anadaiwa kumvunja nyonga na kumjeruhi mkewe Eva Pascal anayeuguza majeraha kwenye Hospitali ya...
View ArticleMAPAMBANO MAKALI YAZUKA KATI YA POLISI NA CHADEMA. ANGALIA HALI ILIVYOKUWA...
Maandamano ya chama cha CHADEMA yaliyokua yanafanyika huko mwanza yamegeuka vurugu baada ya wandamanaji kuanza kupambana na polisi. CHADEMA walikua wakiandamana katika kushinikiza Meya wa Ilemela Henry...
View ArticleKITALE AWASHTUA WATANZANIA.MASHABIKI WAKE WACHANGANYIKIWA!
Na Livingstone MkoiMwanamuziki na msanii nyota toka kiwanda cha Komedi Bongo Tz Kitale siku ya kesho anatarajia kuishtua Tanzania kwa kuachia song lake jpya lijulikanalo kama Gharama huku akiwa...
View ArticleHALI YA MUIGIZAJI WA VITUKO SHOW YAWA TETE. MZEE MAJUTO ACHANGANYIKIWA !
''Afande Mapembe'' (Baba Kundambanda) Kwawadau wa vichekesho hapa nchini nadhani walio wengi wanamfahamu msanii huyu kutokana na umaahiri wake wa uchekeshaji kwa swaga za kimakonde, Wengi mnamtambua...
View ArticleBIBI ALIYEDAIWA KUDONDOKA AKIWANGA YADAIWA WALIKUWA WATATU WENZAKE...
Wasamalia wema wakimuhoji kwa umakini bibi huyo muda mfupi baada ya kudondoka huko Chanika.Wasamalia wema wakimpatia chakula kumnusuru na njaa bibi huyo ambae aligoma kutaja jina lake kwa madai kuwa...
View ArticleAIBU:AANIKA PICHA ZA UCHI AKIWA ANAFANYA MAPENZI NA MCHUMBA WAKE..!!
ULIMBUKENI HUU SIJUI UTAISHA LINI,????
View ArticleBREAKING NEWS: MWINJUMA MUUMIN NA WAZIRI SONYO WATWANGANA MAKAONDE. MUUMINI...
Aliyekuwa kiongozi wa bendi ya Victoria kabla ya jana kupigwa chini kwenye bendi hiyo. Waziri Sonyo kushoto. Na Mwandishi WetuHabari zilizonaswa na mtambo wa blog ya xdeejayz hivi punde zinasema kuwa...
View ArticleMBOWE ALINDWA KAMA RAIS BARAK OBAMA WA MAREKANI. MIWANI YA WALINZI WAKE NI YA...
MH.MBOWE AKIWA KATIKA GARI LAKE CHINI YA ULINZI MKALI
View ArticleMWANAMKE ALIYEJIMWAGIA MAFUTA YA PETROLI NA KUJITA KIBERITI JIJI MWANZA HALI...
MWANAMKE mmoja ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyankumbu, Kata ya Kalangalala mkoani Geita Anastazia Kubezya (28) hali yake imezidi kuwa mbaya kufuatia hatua ya kuliripua na moto kisa mumewe kuoa mke...
View ArticleUPEPO MKALI WA MWAKYEMBE WAZIDI KUSHIKA KASI, DIAMOND AHUSISHWA SAKATA LA...
KWA mara ya kwanza tangu lilipoibuka sakata la watu maarufu kujihusisha ama na utumiaji au usafirishaji wa dawa za kulevya, jina la mwanamuziki anayeaminika kuwa na ukwasi mkubwa kwa sasa hapa nchini,...
View Article