↧
PROFESSOR JAY AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI.
Kwa Mujibu Wa Gardner G Habash aliye kuwa karibu na rapper Profesa Jay, Leo Jioni Walipata taarifa kuwa mama yake mzazi amepata ajali na yupo kituo cha polisi akichukua PF3 ili akapate matibabu. Baada...
View ArticleCHECK MABINTI WALIOVALISHWA NGUO ZA SUBIRA WAHURE WALIVYOTISHA
HERE ARE PRISCA'S IMAGES congratulations my dear Prisca...Prisca the second from right shinning bright in a red evening dress by Subira WahurePrisca dressed in a red dress with silver...
View ArticleTID BWANA, EBU CHECK VITUKO ANAVYOVIFANYA U.K MTAANI MPAKA WAZUNGU...
MZEE MNYAMA AKIBIDUKATISHA SANA
View ArticleAGNES MASOGANGE AKILI KUKAMATWA NA UNGA NA LEO ANAFIKISHWA MAHAKANI
HUKU skendo ya kunaswa akiwa na madawa ya kulevya ikiendelea kumtesa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, Video Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ anatarajiwa kupandishwa kortini nchini...
View ArticleWEMA SEPETU NA MARTIN KADINDA KIMENUKA
KIMENUKA! Beautiful Onyinye au ‘Madam’ Wema Isaac Sepetu anadaiwa kutibuana na yule meneja wake, mwanamitindo Martin Kadinda kwa kurushiana maneno mtandaoni, Amani limesheheni.Kwa mujibu wa chanzo...
View ArticlePICHA 18 ZA HALI ILIVYO KWENYE MSIBA WA MAMA YAKE PROF J MBEZI YA KIMARA
Kwa mujibu wa familia jumapili hii saa 10 mwili wa marehemu mama yake prof j utazikwa katika makaburi ya kinondoni.kwa picha za matukio zaidi Roy wa east africa radio na mboni masimba dolo na nature...
View ArticleCHECK SKYLIGHT BAND INAVYOWAJAZA MASHABIKI WAKE
Kikosi kazi cha Skylight Band kikitoa burudani katika Uwanja wao wa nyumbani Thai Village Ijumaa iliyopita, na Ijumaa hii kama kawaida watalisongesha pale pale....Karibuni wote.Wadau wakubwa wa...
View ArticleSTAR WA WIMBO WA MAJANGA AFUMWA AKIANDAA FUTARI
Snura Mushi 'Mama Majanga' akiandaa futari.Hivi ndivyo kamera yetu ilivyomfuma staa wa muziki Snura Mushi 'Mama Majanga' akiandaa futari ikiwa ni siku ya pili toka mfungo wa Ramadhani uanze. Paparazzi...
View ArticleMJUE WINNIE MBUNIFU CHIPUKIZI ANAEFANYA MAAJABU KWENYE UBUNIFU WAKE
Huyu mtoto wa kike anajukana kwa jina la WINNIE moja kati ya wabunifu chipukizi wanaofanya vizuri katika game hii ya urembo na ubunifu. hii ni moja kati ya nguo alizozibuni yeye mwenyewe.kwa picha...
View ArticleHII NDIO MSG ILIYOWAWEKA NDANI WATU WAWILI INAMUHUSU KIKWETE NA OBAMA
Jeshi la polisi Geita linawashikilia watu wawili kwa kosa la kusambaza ujumbe kwa njia ya simu usemao, UMEPOKEA SHILINGI 50,000.KUTOKA KWA RAIS KIKWETE KAMA SEHEMU YA MGAO WAKO BAADA YA KIKWETE...
View ArticleKINACHOENDELEA KWENYE USAHIRI WA MADEEJAY NEW MAISHA CLUB
Yale mashindano yakutafuta madeejayz mbalimbali watakao pata ajila ya kudumu katika kampun ya entertaiment masters leo ndio yanaanza rasmi katika club ya kimataifa NEW MAISHA CLUB. vijana mbalimbali...
View ArticleMAMA YAKE PROF JAY KUZIKWA LEO KINONDONI MATUKIO ZAIDI SOMA NDANI
Mwili wa marehemu ukingia nyumbani kwao mbezi ya kimara kwa ajili ya ibada na sura ya mwisho .baada ya hapo kuzika ni saa 10 katika makaburi ya kinondoni.Gari lililobeba mwili wa marehemu PICHA ZOTE...
View ArticleSAFARI YA MWISHO YA MAMA YAKE PROF JAY
MH MNYIKA BLACK RHYNObaba yake na pof jaymzee hauleMuda wa kuweka maua
View ArticleBAADA YA NANDO KUPATA GONJWA LA ZINAA, FEZA NAE AZUA LAKE BBA... #MAJANGAA
\Huenda Jay (mtoto wa kiume wa Feza Kessy) anaweza kupata wadogo zake wa kucheza nao soon. Hiyo ni kutokana na mama yake anayeiwakilisha Tanzania mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The...
View ArticleNJOO UFUE NGUO ZAKO SUNSHINE DRY CLEANERS UPOKELEWE KWA TABASAMU KAMA HILI
Wala sio mbali sana ni maeneo ya oysterbey tu pale utakutana na mtoto wa kike mwenye tabasam tamu na mwanya kwa mbali atakupokea kama mfalme.nguo zao wanafua na kupasi kwakutumia machine za kisasa...
View ArticleCHECK FUTARI YETU BOMBA YA JANA
Futari yetu bomba ya jana imepigwa na KHADIJA kutoka zanzibari je ya leo itapikwa na nani usikose kesho kujua futari leo itapikwa na nani? Haya sasa mseto ndio huo hapo.kitu cha draft pale kati Tambi...
View ArticleUkichaa wa Rihanna - Aenda Shopping Akiwa Amevaa Nguo ya Kuogelea (PICHA)
Je unadhani ni nani kichaa zaidi ya wote..? Labda ni Rihanna. Hebu jaribu kumfikiria pale alipoweza kwenda kufanya shopping huku akiwa na amevaa hivi ndani ya jiji la Monaco...Au bado ana wenge la...
View Article