↧
KIUMBE ANAEDAIWA KUWA NI JINI AZUSHA BALAA KANISANI, WAUMINI WATAFUTA MLANGO...
Hapa mara baada ya kuuliwa na wachungaji hao Hapa kiumbe huyo akiwa juu ya mti aina mkorosho Wachungaji Inocent Gelvas kushoto, katikati na Mchungaji kiongozi wa Kanisa hilo Amos Mbena na kiongozi...
View ArticleUTAJIRI WA DK FADHILI WAMFUNIKA VIBAYA DIAMOND, ANAMILIKI NYUMBA ZENYE...
Billgate wa Tanzania Dokta Fadhil juu chini ni moja ya Jumba lake la kifahari ambalo limezusha minong'ono huku akidaiwa kumiki nyumba zaidi ya 10 kama hizo hapa mjini na Jijini Arusha.Na Anna...
View ArticleMASTAA ZAIDI WAZIDI KUMPONGEZA PROFFESOR JAY KWA KUWA MH MBUNGE JIMBO LA...
MH JOSEPH HAULE MBAE NI MBUNGE MTEULE WA JIMBO LA MIKUMI STAA WA FILAMU YA WAKE UP MANAIKI SANGA MWANAMUZIKI DR JOSE CHAMELEONE TOKA UGANDANa Mwandishi WetuMastaa mbalimbali nchini na nje ya nchi...
View ArticlePICHA 8 ZA TUKIO LA KUKAMATWA GWIJI LA KUUZA MIHADARATI KINONDONI DAR,...
Rpc Camillius Wambu Kamanda wa Polisi Kanda ya Kinondoni Watuhumiwa wakiwa chini ya ulinzi mkali kituo cha Polisi CCM Mwinyijuma Mwananyamala.Kushoto ni Afande Makomeo ambae alipongezwa na wananchi...
View ArticleDOKTA FADHILI WANTED, ASAKWA KILA KONA YA MJI, UTAJIRI WAKE WA KUTISHA...
Msako mkali waanzishwa kila kona, Yadaiwa akimbia Jiji hajurikani alipo, Utajir wake wa kutisha wamponza.Na Mwandishi WetuKatika hali ya kushtua kijana mdogo Dokta Fadhi “Bill Gate wa Tanzania”...
View ArticleTAHADHARI WAKAZI WA DAR: MSICHANA HUYU,MUMEWE WASAKWA KWA KUDAIWA KUWATAPELI...
Kamanda Brigitte Vitalis mwenyewe anaedaiwa kuwa tishio kwa utapeli. Norberth Edward Hizza na Brigitte Vitalis ambao wote imeelezwa wanaskwa kwa utapeli kwa dada huyo wa Kiarabu, na tayari picha zao...
View ArticleBALAA KUBWA: LILE KANISA LENYE NGUVU ZA MUNGU ZA AJABU LAENDELEA KUWA GUMZO,...
Mchungaji wa Kanisa la PHM BONDE LA UKOMBOZI NA MAFANIKIO KIMARA GORANI lililopo maeneo ya Kimara Suka Amos Mbena Kanisa la PHM BONDE LA UKOMBOZI NA MAFANIKIO KIMARA GORANI maeneo ya Suka. Copy the...
View ArticleAIBU KUBWA: NJEMBA LILILOJIFANYA HOUSE GIRL ILI LIPEWE KAZI ZA NDANI LADAKWA...
Na Mwandishi wa Maskanibongotz- UgandaKatika hali ya kushangaza mwanaume mmoja nchini Uganda alijikuta akichezea kichapo cha mbwa mwiz baada ya kujifanya mwanamke na kufanikiwa kupewa kazi za ndani...
View ArticleWAKAZI WA NAKASANGWE JIJINI DAR WAMUANDALIA MAPOKEZI MAKUBWA RAIS JOHN POMBE...
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli, ambae anasubiriwa kwa hamu na wakazi wa Kata ya Wazo na Nakasangwe au "Kaza Roho" wanaimani atamaliza mgogoro wao wa ardhi ambao una...
View ArticleWATOTO MAPACHA WAMTOKEA PUANI DOKTA FADHILI ALEMEWA NA HUDUMA, MAELFU YA WATU...
Dr Dafhili ambae amekuwa gumzo nchini Tanzania kutokana na ushauri na tiba zake za kupata watoto kuwa na mafanikio hali inamfanya kukosa muda wa kupumnzika kwa ajiri ya kuwapokea watu.Watoto mapacha...
View ArticleDADA WA KIARABU ALIYEPIGWA MILIONI TISA NA MUME NA MKE WANAODAIWA KUWA TISHIO...
Surutana Khamis ambae ndiye mwenye RB hii MAG/ RB/ 9768/ 2015 KUJIPATIA MALI KWA NJIA YA UDANGANYIFU ambayo ameifungulia kituo cha Polisi Magomeni, amesikitishwa vikali na kauri za mumewe Brigitte...
View ArticleLAANA HII ITAISHA LINI? WANAWAKE WAONGOZA KUJIDHALILISHA KULIKO WANAUME,...
Kwa wakida dada wa mjini hii ni kawaida sana kuvaa hivi bila kujari kama wanajidhalilisha , ambao wananchi wengi wameiomba Serikali kupitia jeshi la Polisi na mamlaka za TCRA kuacha kusubiri hadi mtu...
View ArticleSADIKITV YATEMBELEA KITUO CHA E-FM RADIO 93.7, MKURUGENZI HUYO APONGEZA KITUO...
Sadick Hamid mkurugenzi wa SADICKTV sehemu ya mapokezi kwenye kituo cha E-fm RadioSadick Hamid akiwa na mzee Kitime ndani ya studio za kisasa ndani ya E-fm Radio Sadick Hamid kushoto akisalimia na...
View ArticleHILI BALAA: WAKAZI JIJINI DAR WAMUOMBEA UKUU WA MKOA DC PAUL MAKONDA, WASEMA...
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni DC Makonda ambae tangu ateuliwe na Mh Rais Mstaafu JK amekuwa mfano wa kuigwa kwa wakuu wengi wa Wilaya hapa nchini kutokana na utendaji wa kazi mzuri anaoufanya wa kutatua...
View ArticleKATAA UDHALILISHAJI HUU: WACHUNGAJI WAFANYA UBATIZO WA AJABU, WAAMURU WAUMINI...
Dunia hii inaelekea ukingoni ukiona mambo yanayotokea kwenye ardhi hii utagundua tupo kwenye hatua za mwisho kabla ya hukumu kuikumba Dunia.Mtandao huu wa maskanibongotz kupitia msaada wa mitandao...
View ArticleDC MAKONDA NI MTU HATARI SANA KULIKO WACHACHE WANAVYOMCHUKULIA, ANGALIA HAPA...
Wiki iliyopita wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha urafiki walifanya mgomo kwa madai ya kutolipwa mishahara yao kwa muda mrefuLeo mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda alikutana na wafanyakazi wa...
View ArticleHATARI YA NGUVU ZA GIZA: DADA MWENYE PEPO MBAYA NA NGUVU ZA AJABU AWATEMBEZEA...
Mwanamke amwenye nguvu za ajabu akiwatoa jasho watumishi wa Mungu akiwepo Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la la Pentecostal Holness Mision Bonde la Ukombozi lilipo Kimara Suka mtaa wa Gorani Mch:Amos...
View ArticleWATANZANIA WATAKIWA KUMUOMBEA KWA MUNGU PAUL MAKONDA, WAKAZI KINONDONI...
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Paul Makonda akiwa ofisni kwake wiki iliyopita alipozungumza na mtandao huu wa habari na matukio wa maskanibongotz, kuhusu utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoka miezi 5...
View ArticleBREAKING NEWS: DC MAKONDA KAMA RAIS MAGUFULI VILE, AWAWEKA NDANI MAAFISA...
Mwenyekiti wa Nyakasangwe kata ya Wazo leo hii akitangaza kwenye kiwanja cha CCM Nakalekwa juu ya Mh Paul Makonda kushindwa kufika baada ya maafisa Ardhi waliokuwa waje kuendesha zoezi la kuhakiki...
View ArticleJARIBU LA KWANZA TANGU AAPISHWE: WATUMISHI MANISPA YA KINONDONI WAMCHOKONOA...
Hivi ndivyo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni alivyopokelewa na mabango ya kuwakata watumishi wa Kitengo cha Ardhi kwa madai ya kushirikiana na mafisadi wanaonea wananchi kwenye mgogoro huo wa ardhi eneo la...
View Article