Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Browsing all 1682 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PEPO MCHAFU AZIDI KUWAANDAMA WANAFUNZI DODOMA MWINGINE APIGA PICHA ZA UCHI...

Na Mwandishi wa XdeejayzPepo mbaya amezidi kuwatesa wanafunzi wa vyuo nchini kwa kujipiga picha za aibu tena kwa makusudi kisha kuzirusha kwenye mitandao kwa ajili ya kutafuta mabuzi ya kuyachuna.Picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA LULU YAFUMUKA UPYA HUENDA AKARUDISHWA LUPANGO TENA, ITAENDESHWA KWA...

KAZI inaanza tena! Supastaa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ anapanda katika kizimba cha Mahakama Kuu ya Tanzania kwa yale madai ya kumuua bila kukusudia, aliyekuwa nyota wa muvi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI NASWA AKIJIUZA BARABARANI NI MSOMI WA CHUO KIKUU...

Ni aibu iliyoje? Mwanadada ambaye amejitambulisha kuwa ni msomi wa chuo kikuu (jina lipo) ambaye pia ni mwanakwaya chuoni hapo aliyejitaja kwa jina moja la Rei ameaibika baada ya kunaswa usiku mnene...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STYLE MPYA YA USHAHARIBU IMESHAANZA KUWABAMBA WATANZANIA - SNURA

 Akiongea na blog hii hit maker wa wimbo wa majanga Snura Mushi amesema style yake mpya ya ya ushaharibu... imeshakuwa gumzo mtaani na kila siku anatumiwa picha za watu mbalimbali wakiweka ishara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA NA DIAMOND

PICHA:WEMA SEPETU NA DIAMOND PLATNUMZ WAKILA BATA CLUB JANA USIKU Mbona ni Live live Sasa hakuna Tena Kikohozi...Kama hutaki Kajinyonge na Kamasi....Wema na Diamond Wakiwa Club Pale Runway...Niceee I...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBAZI SUGU LILILOTIKISA TARIME LAKAMATWA KIKOMANDOO NA POLISI, WANANCHI...

Mkuu wa jeshi la polisi nchinivia Imma Matukio — Jambazi mkuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGRAPHICS WA ULAYA BWANA ONA WALIVYOMDHALILISHA WENGA KWENYE MITANDAO..!

Kipigo cha bao tano cha jana kilimchanganya kabisa Arsene Wenger mpaka akapiga mweleka wa nguvu alipokuwa anaondoka katika mjio huo baada ya kutembezewa kichapo hicho ...Aibu ya Mwaka kwa Arsenal...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INASIKITISHA ONA JINSI MADAWA YA KULEVYA YALIVYOWAFANYIA UNYAMA WATU...

GAZETI LA MASKANI BONGO LIKO MTAANI JUMATANO HII USIKOSE NAKALA YAKO KUJUWA MADHARA ZAIDI JUU YA MADAWA YA KULEVYA JINS YANAVYOMMALIZA STAA MMOJA MAARUFU NCHINI"

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYAMA YA KITI MOTO YAMUHARIBU AFANDE HUYU ONA TUMBO LAKE LILIVYOJAA..!

"GAZETI LA MASKANI BONGO LIKO MTAANI JUMATANO HII USIKOSE NAKALA YAKO KWA SHILINGI MIA TANO TU"

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIBU NZITO MREMBO MAARUFU AKABILIWA NA KASHFA MBAYA, HAKI YA MUNGU UKISIKIA...

Na Mwandishi Wetu DarBlog hii ya Xdeejayz na gazeti la Maskani Bongo linakusanya diteizi juu ya kashfa nzito inayomkabiri msichana mmoja mbae bado hajafahamika jina lake lakini anaishi maeneo ya Mbezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIRI YA MWANAUME ALIYEJINYONGA MKOANI MTWARA YAGUNDULIKA....!

Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Bahati maarufu kwa uuzaji wa mifuko ya plastiki maeneo ya stand kuu ya mabasi Bukoba amekutwa kajinyonga juu ya mti  maeneo ya ufukwe wa Spice Motel majira ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROSE MUHANDO MATESO MAKALI ABURUZWA POLISI KWA AIBU NZITO YA UTAPELI..!

Stori: Mwandishi WetuSTAA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando yamemkuta ya kumkuta ambapo Ijumaa iliyopita alishikiliwa na Polisi wa Kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa madai ya kuingia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUCHU HANS NA RAY HADI KIFO KIWATENGANISHE WAWAONESHA WABAYA WAO JINS NGUVU...

Stori: Imelda MtemaMAMBO hadharani! Penzi ‘hoti’ la mastaa mahiri wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa sasa limekuwa kama la njiwa kwani mara nyingi kila sehemu wapo pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Cant Remember to Forget You’ Ya Shakira na Rihana Yadaiwa kuchochea vitendo...

anVideo ya wimbo wa Shakira ‘Cant Remember to Forget You’ aliyompa shavu mwimbaji mwenzake wa Caribbean, Rihanna imekosolewa vikali na mwanasiasa mmoja nchini Colombia anayefahamika kwa jina la Marco...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO WAZURI ZAIDI YA 800 KUONESHA UPENDO WAO NDANI YA CLUB MAISHA DAR...

 Moja ya Zawadi zitakapozotolewa Jumamosi hii kwa wapendao ndani ya Club Miasha Dar zaidi ya warembo 800 wamealikwa huku Xdeejayz Drummer wakifanya yao live. Moja ya Zawadi zitakapozotolewa Jumamosi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GAZETI LA MASKANI BONGO LEO TAREHE 12, FEB, 2014, BI.HARUSI MTARAJIWA...

KWA HABARI ZAIDI KAMA KOPI YAKO MTAANI LEO JUMTANO.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAHADHARI KUBWA DAR: WAZUNGU WAINGIZA MAMILIONI YA EURO FAKE KUWAPIGA...

 Hizi ni EURO Halisi KAMISHINA WA POLISI KANDA YA MAALUM DAR, SULEMAIN KOVA  Hii ni EURO feki kama inavyoonekanaNa Mwandishi wa XdeejayzJeshi la Polisi Kanda ya Kinondoni limeanza msako mkali wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUVUJA KWA PICHA CHAFU ZA NAIMA, WEMA SEPETU AHUSISHWA LENGO ILIKUWA NI...

Wema Sepetu akifurahia jambo na Manaiki Sanga "The Don"Na Mwandishi wa Xdeejayz DarKufuatia kuvuja kwa picha za ibu za aliyekuwa shoga yake Wema Sepetu kabla ya kutemana na Naima kuchukuliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAMBO AONESHAA JEURI YA PESA, AMBADILISHA MAMAAKE SURA KWA MAMILIONI YA...

Mama wa star wa filamu na kipenzi cha wengi duniani muigizaji  Sylvester Stallone aka Rambo ameonekaha hivi karibuni akiwa na muonekano tofauti na kwamba kafanya kila jambo kukimbia uzee.Mama huyu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGANGA MAARUFU WA MASTAA NCHINI AZUSHA BALAA MKOANI TABORA WANANCHI WASHIKWA...

 DK Kamdege akiwa kazini na zana za kazi, Mganga huyu amejichukulia umaarufu mkubwa nchini na nje ya nchi kwa tiba zake ambapo yeye hutumia miti shamba tu kumfanikishia mtu mambo yake tofauti na...

View Article
Browsing all 1682 articles
Browse latest View live