↧
NAMSHUKURU MUNGU SIKUZAA NA DIAMOND MAANA ANGEWAHARIBU WANANGU SURA PAMOJA NA...
Penny ambaye ni mpenzi wa zamani wa Naseeb Abdul "Diamond" haonekani kujutia kitendo cha kumwagana na msanii huyo na badala yake sasa ameanza kuzipa uzito hoja za kumpiga...
View ArticleMTOTO WA MWANASAIASA MKONGWE NA MBUNGE AFUMANIWA NA MKE WA RAFIKI YAKE,...
Hapa akilia kwa uchungu baada ya kichapo cha haja.Hapa akipelekwa kituo cha PolisiNa Mwandishi WetuBlog hii pendwa nchini na nje ya nchi ya Xdeejayz imenasa picha za fumanizi zinazomuhusu mtoto wa...
View ArticleMZUNGU ADATA NA MAUNO YA SNURA AOMBA MSAADA WA KUFUNDISHWA KUKATIKA NYONGA...!!!
Raia wa kigeni kutoka germany aliejulikana kwa jina moja tu la Joan amesema tangu afike tanzania mienzi mitatu sasa amejikuta akivutiwa sana na kazi za snura hasa katika swala zima la jinsi...
View ArticleTUHUMA NZITO: MFANYABIASHARA MAARUFU JIJINI AKABILIWA NA TUHUMA NZITO,...
Mfanyabiashara maarufu Jijini Dar jina linahifaziwa anakabiliwa na tuhuma nzito..!"BLOG HII PAMOJA NA GAZETI LA MASKANI BONGO LINAKAMILISHA DATA ZA MWISHO KABLA YA KUUANIKA UOVU WAKE INATISHA KWA...
View ArticleSIJAWAHI KUSAGANA HATA-BABY MADAHA!
Na Shumba MsituMwanamuziki na msanii wa bongo movie Baby Mdaha ameibuka na kukanusha tuhuma za usagaji zinazomkabili ndani ya jamii na kusema katika maisha yake hajawahi kufanya tukio kama...
View ArticleIRENE UWOYA ATIA HOFU CHINA, WATANZANIA WATAKIWA KUMUOMBEA ARUDI SALAMA LA...
Na Shumba MsituHabari mpya zilizonaswa na gazeti la Maskani Bongo zinasema kuwa msanii Irene Uwoya nae anadaiwa kwenda nchini China kufanya biashara huko kwa lengo la kujiongezea kipato.Habari za...
View ArticleHIVI NDIVYO BONDIA MIYEYUSHO ALIVYOTAKA KUMUUA BONDIA TOKA KENYA, XDEEJAYZ...
Mkenye huyo asema alinusa harufu ya kifo, amfagilia Miyeyusho.Bondia Francis Miyeyusho usiku wa mkesha wa mwaka mpya alijidhihilkisha ukanda wa Afrika Mashariki na Kati hana mpinzani baada ya...
View ArticleWEMA SEPETU AMPONGEZA ROSE NDAUKA KUPATA MTOTO!
Na Mwandishi WetuKatika hali inayoonesha uungwana Wema Sepetu amemtumia salamu za pongezi Rose Ndauka kwa kujaliwa kupata mtoto wa kike hivi karibuni."HABARI ZAIDI UTAZIPATA NDANI YA GAZETI LA MASKANI...
View ArticleDIAMOND AVAMIWA NA WAREMBO HOTELINI USIKU WA MANANE, WALAZIMISHA PENZI LAKE...
Na Mtu MsituMwanamuziki Nasib Abdul"Diamond" mwishoni mwa wiki iliyopita alizushaa balaa la aina yake kwa kusababisha vurugu ndani ya Hotel aliyokuwa amefikia ijulikanayo kwa jina la Naf Beach...
View ArticlePOMBE ZA BURE ZAMUUMBUA,AJINYEA HAPO HAPO BAADA YA KUMALIZA MIZINGA MIWILI YA...
Mshare wa njano unaonesha mavi aliyokunya mlevi huyo baada ya kunywa mizinga milwili tu ya konyaji bada ya kupiga mkwara kuwa anaweza kumaliza mizinga mitano.Na Shumba MsituUKISIKIA watu wanasema...
View ArticleHUU NI MWISHO WA DUNIA ANGALIA BINADAMU WA AJABU KULIKO WOTE DUNIANI, ANAISHI...
Wakati mwingine binadamu huwa tunajisahau kumshukuru Mungu kwa afya nzuri aliyotupa bila kujua kuwa wapo watu duniani wanaoteseka mno. Mwanaume huyu wa nchini Indonesia ambaye mwili wake umefunikwa na...
View ArticleGAZETI LA MASKANI BONGO LIKO MTAANI LEO TAREHE 8, HABARI KUBWA NI JAMAA...
GAZETI LA MASKANI LIPO MTAANI LEO DAKA KOPI YAKO..!!
View ArticleNAFASI ZA KAZI ZATANGAZWA NEW MAISHA CLUB JE UNA VIGEZO?
New maisha club yatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo MANAGER na AFISA MASOKO.VIGEZO VYA MANAGER Awe na diploma ya usimamizi wa biashara au zaidiumri kuanzia miaka 28 mpaka 40awe na uzoefu usipongua...
View ArticleALL-SHABAB WATOA WAPIGA MARUFUKU WANANCHI KUTUMIA INTERNET NCHINI SOMALIA...
Wanamgambo wa Al Shabaab wenye uhusiano na Al-Qaeda, wamesema kuwa wamepiga marufuku raia wanaoishi katika maeneo wanayodhibiti kutumia internet.Wapiganaji hao wametoa onyo kwa kampuni zote zinazotoa...
View ArticleSHEKH SHARIF KHAMIS ARUDISHA KALAMA YAKE NCHINI, WATANZANIA WATAKIWA KUMUONA...
Na Mwandishi WetuKijana wa kitanzani aliyekuwa kwenye ziara ndefu ya kuzunguka dunia sasa amerejea nchini na amekuja kuwapatia watanzania Baraka zake walizozikosa.Akiongea na gazeti la Kiu kupitia simu...
View ArticleCLUB MAISHA YAMWAGA NAFASI ZA KAZI WAHI MAPEMA KUCHUKUA AJIRA YAKO NONO..!!!
MANAGER na AFISA MASOKO.VIGEZO VYA MANAGER Awe na diploma ya usimamizi wa biashara au zaidiumri kuanzia miaka 28 mpaka 40awe na uzoefu usipongua miaka miwiliawe tayari kufanya kazi ndani na nje ya dar...
View ArticleDODOMA YATIKISIKA JAMANI, MTOTO WA BABA ASKOFU APIGA PICHA ZA UTUPU NA...
Mtoto wa Askofu maarufu Mkoani Dodoma apiga picha za utupu na kuzisambaza makusudi ili kutafuta mapedeshee wa kumnanihiii..Hapa akiwana grace ya pombe kaliNa Mwandishi wa XDEEJAYZ DODOMA.Katika hali...
View ArticleMAPESHEE WAUA BAA YA AUNT EZEKEILE, AJUTU KUZALIWA , XDEEJAYZ INAKUPA YA MOTO...
Aunt Ezekiel.PUB iliyoibuka kwa muda mchache na kukamata ‘taito’ kubwa Bongo ya mwigizaji Aunt Ezekiel, Demonte imefungwa ghafla, haitoi huduma tena.Imedaiwa kuwa, pub hiyo iliyopo maeneo ya...
View ArticleMH. KOMBA AHOFIA MAPINDUZI YA WASANII WANAOJIUNGA KWENYE SIASA!
Mbunge wa Mbinga Magharibi Mh Kapteni John Komba ameonesha wasi wasi juu ya mapinduzi makubwa wanayoweza kuyafanya wasanii wanaiingia kwenye Siasa kwa sasa kwa ajili ya kugombea Ubunge.Akiongea na...
View ArticleANGALIA MAUNGO YA WEMA SEPETU LIVE WATU WAPIGWA NA BUTWAA KILA KITU KILIKUWA...
Na Mwandishi WetuKatika hali isiyokuwa ya kawaida staa wa filamu za kibongo Wema Sepetu amewaacha watu midomo wazi baada ya kupiga picha zinazoonesha wazi maungo yake wazi huku akishuhudiwa wazi na...
View Article