Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Browsing all 1682 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 8

DIAMOND NA WASAFI NDANI YA THE SPORAH SHOW UK, MCHEKI HAPA Leo hii, baada ya kupia show kadhaa ndani ya London, UK, Diamond alipata nafasi ya kufanya mahojiano na kipindi cha TV cha "The Sporah...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WOSIA WA JIDE JUU YA RUGE MUTAHABA NA JOE KUSAGA

Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, magumu na mepesiNa bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FUMANIZI LA AIBU

=Habari kamili zilizonaswa  na  waandishi  wetu  ni kwamba mwanaume aliyetajwa kwa jina la Baba Asha alidai kumfumania rafiki yake wa karibu, Baba Tony akiwa gesti na mkewe (jina linahifadhiwa), tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

XTREME PICTURE OF THE DAY

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU HAPA SHABIKI MFUPI WA TAARAB KULIKO WOTE DUNIANI

Akiserebuka na dada yake.   …Akiwa jukwaani amepozi na Khadija Yusufu.Mpenzi wa miondoko ya ‘rusha roho’ (taarab), Tausi Mdegela, ambaye alikuwa ni  mfupi zaidi kuliko mashabiki wote waliojitokeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBAKA WAKAMATWA BAADA YA KUTAKA KUWAIBIA MAJERUWI KWENYE AJALI

Hawa hapa vibaka ambao wanastahili adhabu kali sana kutokana na tabia zao mbaya, inapotokea ajali wao moja kwa moja wanataka kuiba na si kuwasaidia watu waliopata matatizo kwenye ajali hizo mtindo huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASTARA AKATAA KUOLEWA

  MSANII wa filamu za Kibongo, Wastara Juma hivi karibuni alikataa kuolewa na kuwa mke wa pili baada ya kupigiwa simu na mwanamke mmoja jijini Dar akimtaka awe mke mwenzake.Wastara ambaye hivi sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPIGIE KURA MSOUTH CATO KUWA BALOZI WA GROND MALT CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOM):

 Bonyeza link hapo chini kisha mpigie kura :KATO LAWRENC  3RD YEAR  UNIVARSITY OF DODOMA, CATEGORIL OF CULTURE AND ENTERTENMENT:PLZ MPIGIE KURA  KATO LAWRENC  A.K.A MSOUTH CATOILI AWAKILISHE VEMA CHUO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU AFUNGUNGA JUU YA BEEF YAKE NA LULU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DTV KUONESHA MECHI YA MCHEZO WA RUGBY KATI YA RHINO'S YA ARUSHA NA DAR...

 Kocha mkuu Jonathan T. wa timu ya Dar Leopard  ya Jijini Dar  akiwapa maelekezo wachezaji wake masaa machache kabla ya pambano la timu hizo. Wachezaji wa  Dar Leopard wakitoka uwanjani baada ya mechi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA GADNER G HABASH BAADA YA LADY JAYDEE KUANDIKA WOSIA...

 Gadna G Habash  AKIONGEA NA  MTANGAZAJI DAN CHIBO MTANGAZAJI WA TBC FM,NA HIVI NDIVYO ILIVYOKUWALeo nilipata nafasi ya kuzingumza na Gadan G Habash ambaye ni Meneja na Mume wa Mwanamuziki maarufu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NJOO UWAKILISHE NA TUSHEHEREKEE BATA FURAHIDAY

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUTOA WOSIA LADY JAYDEE ATAONGEA NA WATU WAKE LIVE KWENYE 13...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUKUMU YA SHEKHE PONDA SASA KUTOLEWA ALHAMISI IJAYO...

Shekhe Ponda Issa Ponda.Kesi ya uchochezi na wizi wa mali zenye thamani ya Sh milioni 59, inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Shekhe Issa Ponda na wafuasi wake 49, jana ilitajwa  kwa...

View Article

TAARIFA KUHUSU CHANZO CHA KANISA LA RC KULIPUKA LEO JIJIN ARUSHA MAENEO YA...

 HABARI YA MLIPUKO-ARUSHA: CHANZO KINASEMA, BOMU HILO LIMELIPUKA WAKATI WAUMINI WA KANISA HILO LA KATOLIKI WAKIENDELEA NA SHEREHE ZA UZINDUZI WA KANISA HILO JIPYA JIJINI ARUSHA NA MPAKA SASA HAIJAWEZA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARNABA NA LINAH WA THT WAITOLEA NJE SHOW YA LADY JAY DEE

Linah na Barnaba wameiambia Bongo5 kuwa hawatakuwepo kwenye show ya miaka 13 ya muziki ya Lady Jaydee itakayofanyika May 31, kwa kile walichodai ni kutoafikiana kwenye malipo. Wamesema licha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA ARUSHA MH GODBLESS LEMA ATEMBELEA KANISA LILILORIPULIWA HUKO...

hili ndio kanisa lililolipuliwa na bomu leo asubuhi  Godbless  Lema ambaye  ni  mbunge  wa  arusha  ametembelea  eneo  la  kanisa  lililolipuliwa  na  kuwafariji  wahanga  wa  tukio  hilo..... Akiongea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMA MNAZALETI AAMUA KUMUUNGA MKONO LADY JAYDEE KWENYE SAKATA LAKE LA RUGE NA...

 Mkali wa miondoko ya bongo fleva anatamba na ngoma yake kali aliyomshirikisha OMMY DIMPOZI  chukua tyme SUMA MNAZALETI ameyasema maneno hayo leo kwa njia ya masseji Alisema'' ebana nadhani unajua nini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA ASIMULIA ALIVYONUSURIKA KIFO NA MWANAE, ASEMA ALIONA BORA AFE YEYE...

 Baba akiwa amemkumbatia mtoto wake, Mazazi huyo alisema aliona bora afe yeye lakini mwanae apone. Babu akiwa chini huku biblia yake pembeni akishindwa kuamini kilichotokea.Huku kulia Mama akiinua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUGE APIGA MARUFUKU NYIMBO ZA BONGO FLEVA KUPIGWA CLOUDS FM SIKU NZIMA YA LEO

Akizungumza kupitia kipindi cha Power Breakfast, Meneja wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ameelezea yafuatayo kuhusiana na tuhuma zilizotolewa na msanii Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ wiki...

View Article
Browsing all 1682 articles
Browse latest View live