↧
UGOMVI WA BABA NA MAMA WAUA MTOTO WAO KISHA WAMTUPA KWENYE NYUMBA YA JIRANI ILI KUPOTEZA USHAHIDI, LAKINI JESHI LA POLISI LAWANASA NA KUWATIA NDANI!
Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mtoto wao wakati wanapigana kutokana na wivu wa kimapenzi.
↧