Hivi ndivyo hali ilivyo kwenye Kanisa la Sayuni lililopo Nyakasangwe Kata ya Wazo, ambapo kutokana na uponyaji wa kweli unatendeka Kanisani hapo mamia kwa mamia ya watu wamekuwa wakimiminika kwa wingi ili kupata uponyaji wa kweli. Mchungaji Mkuu wa Kanisa hilo Mzola ameendelea kuwataka watanzania kuendelea kufika Kanisani hapo kwa ajiri ya kupata uponyaji wa papo kwa hapo.
Mrs Mzola akiwa kwenye ibada
Ndani ya Kanisa hilo uponyaji hufanyika wa papo kwa hapo bure bila malipo
Mchungaji Mzola
Na Mwandishi wa Maskanibongotz
Katika hali ya kushtua baada ya kuvuja kwa taarifa za Kanisa linalotibu mardhi ya aina yote huku Mungu akimtumia mtumishi wake Mch Mazola kufanya hayo yote maelfu ya watu wameendelea kumiminika Kanisani hapo kiasi cha kukosekana nafasi ya kukaa kwa ajiri ya kupata uponyaji wa bure.
Mchungaji huyo akiongea na gazeti la Maskani Bongo alisema" Kiukweli tunamshukuru Mungu Muumba mbingu na ardhi kwa baraka zake toka habari ziwafikie watu wake basi wamekuwa wakimiminika usiku na mchanga kuja kupata uponyaji wa kweli" Alisema mchungaji huyo
Mchungaji huyo aliongeza kusema kuwa anaendelea kutoa uwito kwa watanzania wote kuendelea kufika Kanisani kwake ili wapate uponyaji, kwani Kwa Mungu hakuna lisilowezekana, kila magonjwa yote sugu, ugumba, utasa, mikosi ya kushindwa kuolewa/kuona, kuwa na mashaka, hofu ya kifo nk.
Na amesema watkaoshindwa kufika kanisani kwake Kata ya Wazo mtaa Nyakasangwe wanaweza kumpigia simu kupitia namba hizi 0763-161785/ 0713-161785 na wao watapokea uponyaji huko walipo.
Mrs Mzola akiwa kwenye ibada
Ndani ya Kanisa hilo uponyaji hufanyika wa papo kwa hapo bure bila malipo
Mchungaji Mzola
Na Mwandishi wa Maskanibongotz
Katika hali ya kushtua baada ya kuvuja kwa taarifa za Kanisa linalotibu mardhi ya aina yote huku Mungu akimtumia mtumishi wake Mch Mazola kufanya hayo yote maelfu ya watu wameendelea kumiminika Kanisani hapo kiasi cha kukosekana nafasi ya kukaa kwa ajiri ya kupata uponyaji wa bure.
Mchungaji huyo akiongea na gazeti la Maskani Bongo alisema" Kiukweli tunamshukuru Mungu Muumba mbingu na ardhi kwa baraka zake toka habari ziwafikie watu wake basi wamekuwa wakimiminika usiku na mchanga kuja kupata uponyaji wa kweli" Alisema mchungaji huyo
Mchungaji huyo aliongeza kusema kuwa anaendelea kutoa uwito kwa watanzania wote kuendelea kufika Kanisani kwake ili wapate uponyaji, kwani Kwa Mungu hakuna lisilowezekana, kila magonjwa yote sugu, ugumba, utasa, mikosi ya kushindwa kuolewa/kuona, kuwa na mashaka, hofu ya kifo nk.
Na amesema watkaoshindwa kufika kanisani kwake Kata ya Wazo mtaa Nyakasangwe wanaweza kumpigia simu kupitia namba hizi 0763-161785/ 0713-161785 na wao watapokea uponyaji huko walipo.