Quantcast
Channel: ::XDEEJAYZ-TANZANIA::
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1682

MSANII HUYU ATOA MPYA, ASEMA ANAPENDA KUMLA DENDA MPENZI WAKE KABLA HAJAPIGA MSWAKI ASUBUHI SANA, ADAI ANAPENDA RADHA YA UCHACHU MMH HII KALI TIZAMA MWENYEWE UJIONEE..!

$
0
0


Msanii wa kizazi kipya anayejulikana kwa jina la Jaco Beats A.K.A Kilaza na pia ni Msanii wa kwanza ktk Mkoa wa Dodoma anayefanya  vizuri kwa wimbo wake mpya wa ''WALIONUNA'' ambaye Video ya wimbo huo ukiwa unakaribia kutoka hivi karibuni.Pia msanii Super nyota aliyewakilisha mkoa wa Dodoma katika tamasha la fiesta 2013 kwa wimbo wake wa ''KILIAZA'' Ambapo kwa sasa anafanya poa sana kwenye Game:
Masanii huyu siku ya leo amepost Picha kwenye Ukurasa wake wa Facebook akiwa na Msichana ambaye inasadikika na Mpenzi wake.... Baadhi ya watu wake wa karibu walifunguka na kudai msaniii huyo kwa sasa hajiwezi kwa manzi huyo yani mapenzi yao ni kama ya Dj Hunter na Snura yani wanamaanisha Mahaba Niuwe nipeteze kama Ndege ya Maleysia






Viewing all articles
Browse latest Browse all 1682

Trending Articles